Waliomiss kuona mfuko wa rambo

bahati93

JF-Expert Member
Aug 6, 2015
1,141
2,020
Wana JF

Ni ka mudaa Sasa kamepitaa Baada ya mifuko ya Rambo kupigwa marufuku. Mapakaa nishaanza kusahau inafananaje. Anyway Kama unataka ujikumbushie jinsi ilivyo, na inatumikaje i ngia Youtube alafu cheki ngoma ya SAM WA UKWELI, ATA KWETU WAPO. Samu yupo gengeni anatumia Rambo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom