Waliomaliza shule ya msingi BOMA 1984, (LY 1984)

Waliomaliza shule ya msingi BOMA 1984, (LY 1984)

steveculture

Member
Joined
Nov 19, 2014
Posts
26
Reaction score
7
Nimeikumbuka shule yangu ya msingi Boma.
Mwalimu mkuu Lutambi.
Enzi za mihogo ya mzee juma. Ashkrimu ilikuwa senti 20.
Maji ya kunywa unakinga mikono bombani. Daftari likiisha unapeleka ofisini unapewa jipya. Mafagio tulikuwa tunaficha darini.
 
Wapi,
Abubakar mwimbage, Abuu juma,Tono, Karim ally, Hamis lolo, Modesta temba
Editha, job, Philemon, philipo, francis "kedo", agnes mputa, hosana, juma mrindoko etc
 
Boma ng'ombe au boma ilala? Boma ya masasi au ile ya mwanza? Boma ipi? Ya mbezi au ya pale mkunazini?
 
Hiyo ni Ilala,namfahamu Tono,huwa nafanya nae mazoezi Msimbazi Lover..
 
Back
Top Bottom