Huyo wa madini kivipi,embu tupe details kidogoNa huyo jamaa wa madini bado yuko kitaa si ndio mzee baba?
Huyo wa madini kivipi,embu tupe details kidogoNa huyo jamaa wa madini bado yuko kitaa si ndio mzee baba?
ticha alikuwa anamilikiwa kihalali kabisaa na mchezaji mmoja wa zamani wa yanga na pamba, ila tatizo la marehem halikuwa kwa ticha pekee yake, 'wananzengo' wengi tuu walikuwa wakimlalamikia marehen kwa hiyo tabia yake ya kuwa mega mega wake zao, ebu fikiria marehem alikuwa anaishi 'ushuani' uko mwanza mjini lakini akaja kuuliwa gizani uswazi huko tena kilometer nyingi tuu toka nyumbani kwake akiwa amewatoroka walinzi wake na mkewe wake alikuwa tayari ameisha mfukuzia kwao moshi ili apate nafasi nzuri ya kuwa gegeda akina mama wa kisukuma…….
ilikuwaje jamaa wakakamatwa??Yupo Hai na ndiye Aliyekuja kulipa Kisasi. Sema Madam hakuwa na mwanamme mmoja. Nakumbuka vizuri hili tukio coz Nilikuwa naishi KITANGIRI hapo hapo.. Maeneo ya Minazi Mitatu.
alikuwa mwizi??Kweli tena, haya maisha bana. Jamaa alikuwa Peace ni hakuna na uwepo wa huyo jamaa na wezi wengine walisababisha vibaka wasiibie watu mtaa wetu kwa kudai ni sehemu yao ya maficho hawataki fujo na mtaa.
Muganyizi nampata vizuri sana, alikuwa jamaa fulani mpole Sana na ukihitaji msaada anakusaidia. Enzi nipo shule ananiachia gheto usiku nimlindie, mizigo inaingia usiku najua ni mfanyabiashara Mana ananiambia ametoka bandarini. Nilikuwa sifatilii Sana mimi Niko bize na mambo yangu ya shule. Mwisho wa siku naambiwa kakamatwa kwa mauaji ya kamanda Barlow. Kila la kheri bro wangu Muganyizi.
hao jamaa ilikuwaje wakakamatwa,by the way vipi nani umamkubali pale Wu Tang??ticha alikuwa anamilikiwa kihalali kabisaa na mchezaji mmoja wa zamani wa yanga na pamba, ila tatizo la marehem halikuwa kwa ticha pekee yake, 'wananzengo' wengi tuu walikuwa wakimlalamikia marehen kwa hiyo tabia yake ya kuwa mega mega wake zao, ebu fikiria marehem alikuwa anaishi 'ushuani' uko mwanza mjini lakini akaja kuuliwa gizani uswazi huko tena kilometer nyingi tuu toka nyumbani kwake akiwa amewatoroka walinzi wake na mkewe wake alikuwa tayari ameisha mfukuzia kwao moshi ili apate nafasi nzuri ya kuwa gegeda akina mama wa kisukuma…….
ilikuwaje akakamatwa?Na ndio shooter wa kwenye tukio hata kumuaga baro nyamagana alikuwepo huwezi mdhania kama alikuwa panja
kuna whistleblower mmoja ambaye alikuwa Ex-mfungwa aliye achiwa kwa 'msamaha' na masharti maalum ndiye aliwechoma, watuhumiwa kwa mpelelezi flani hivi, ila tuliisha mng'amua…….hao jamaa ilikuwaje wakakamatwa,by the way vipi nani umamkubali pale Wu Tang??
Unamaanisha kwamba ni ya kubumba?Haya majina kwenye matukio!! Abdallah Petro na Abdulrhaman Ismail
Mwenye mke alimwonya RPC
Mahakama Kuu kanda ya Mwanza imewahukumu kunyongwa hadi kufa, washtakiwa wanne baada ya kupatikana na hatia ya mauaji ya aliyekuwa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza Liberatus Barlow October, 2012.
Hukumu hiyo imetolewa Mwanza na Jaji Sirialus Matupa baada ya Mahakama kuridhika kuwa Watuhumiwa hao wanne kati ya saba walitenda kosa hilo.
Waliohukumiwa kunyongwa hadi kufa ni Muganyizi Michael, Magige Mwita, Abdallah Petro na Abdulrhaman Ismail. Kamanda Barlow aliuawa kwa kupigwa risasi eneo la Kitangiri Wilayani Ilemela Mwanza, saa 8 usiku wa kuamkia October 13,2012.
bado yupo huyo??kuna whistleblower mmoja ambaye alikuwa Ex-mfungwa aliye achiwa kwa 'msamaha' na masharti maalum ndiye aliwechoma, watuhumiwa kwa mpelelezi flani hivi, ila tuliisha mng'amua…….
Huwa wanawafundisha judo na karate kwenye nyumba zao za ibadaHaya majina kwenye matukio!! Abdallah Petro na Abdulrhaman Ismail
Ticha alikua pini , sema nayeye alikua kicheche tu.
Sema nn, kamanda alijaribu kumpoteza Jamaa WA madini, almanusura jamaa akaponea chupuchupu kama alivyonusurika TL.
Naye jamaa akaamua kumvizia kamanda ...kamanda ye akapatikana !!
Tutakuunganisha kwenye kesi ya msingiMuganyizi nampata vizuri sana, alikuwa jamaa fulani mpole Sana na ukihitaji msaada anakusaidia. Enzi nipo shule ananiachia gheto usiku nimlindie, mizigo inaingia usiku najua ni mfanyabiashara Mana ananiambia ametoka bandarini. Nilikuwa sifatilii Sana mimi Niko bize na mambo yangu ya shule. Mwisho wa siku naambiwa kakamatwa kwa mauaji ya kamanda Barlow. Kila la kheri bro wangu Muganyizi.
Tehe...Nasikia Netflix wanataka kutoa hiki kisa kwenye documentary