swahiba Senior
JF-Expert Member
- Nov 12, 2016
- 2,479
- 3,613
Yupo Hai na ndiye Aliyekuja kulipa Kisasi. Sema Madam hakuwa na mwanamme mmoja. Nakumbuka vizuri hili tukio coz Nilikuwa naishi KITANGIRI hapo hapo.. Maeneo ya Minazi Mitatu.Na huyo jamaa wa madini bado yuko kitaa si ndio mzee baba?