Waliokosea maombi ya mkopo 2018/2019

Waliokosea maombi ya mkopo 2018/2019

Jman vip naweza kwenda loan board kbadlisha nlkosea namb ya fombsuxvjman ndo nmegndua mim
 
Je, ulikosea namba yako ya kidato cha sita au cha nne?. Maombi tayari ushayaprint na kuyatuma?. Kama bado hujatuma utaratibu ni, utapaswa kuandika barua kwenda bodi ya mikopo,ukiomba kurekebishiwa, barua hiyo iambatanishwe na maombi yako ya mikopo, iwe pinned katika page ya mbele kabisa(ni vyema ikawa barua iliyochapwa).
Haysa mambo myaangalie kwa umakini
 
Back
Top Bottom