PetersonBay
Member
- Nov 26, 2016
- 69
- 15
brothers and siters wa JF, Kama mtu amekosea kitu katika mchakato wa kuomba mkopo wa elimu ya Juu kwa mwaka 2018/19, anawezaje kurekebisha! Msaada tafadhali kwa anayejua au aliekutana na tatizo la aina hii.
brothers and siters wa JF, Kama mtu amekosea kitu katika mchakato wa kuomba mkopo wa elimu ya Juu kwa mwaka 2018/19, anawezaje kurekebisha! Msaada tafadhali kwa anayejua au aliekutana na tatizo la aina hii.
hapana ndugu yangu" hukuwauwa " wazazi wako ili iwe rahisi kukopeshwa ?
hapana bado, but mda mwingine unagundua kosa ulilofanya kablaKuna list ilitoka ya waliokosea
hapana bado, but mda mwingine unagundua kosa ulilofanya kabla
Imetoka lini mkuu?LIST_OF_APPLICANTS_TO_CORRECT_NECESSARY_INFORMATION.pdf
Niliona hukuhuku jamii forumImetoka lini mkuu?
Mbona haifunguiNiliona hukuhuku jamii forum
hii kitu haifunguki aiseeLIST_OF_APPLICANTS_TO_CORRECT_NECESSARY_INFORMATION.pdf
Je, ulikosea namba yako ya kidato cha sita au cha nne?. Maombi tayari ushayaprint na kuyatuma?. Kama bado hujatuma utaratibu ni, utapaswa kuandika barua kwenda bodi ya mikopo,ukiomba kurekebishiwa, barua hiyo iambatanishwe na maombi yako ya mikopo, iwe pinned katika page ya mbele kabisa(ni vyema ikawa barua iliyochapwa).namba ya mtihani ya F6
Kakabrothers and siters wa JF, Kama mtu amekosea kitu katika mchakato wa kuomba mkopo wa elimu ya Juu kwa mwaka 2018/19, anawezaje kurekebisha! Msaada tafadhali kwa anayejua au aliekutana na tatizo la aina hii.
ya mwaka ganLIST_OF_APPLICANTS_TO_CORRECT_NECESSARY_INFORMATION.pdf
ni namba ya f6 na nimeshatuma kitambo sana, je kwa kesi hii tunafanyaje mkuu.Je, ulikosea namba yako ya kidato cha sita au cha nne?. Maombi tayari ushayaprint na kuyatuma?. Kama bado hujatuma utaratibu ni, utapaswa kuandika barua kwenda bodi ya mikopo,ukiomba kurekebishiwa, barua hiyo iambatanishwe na maombi yako ya mikopo, iwe pinned katika page ya mbele kabisa(ni vyema ikawa barua iliyochapwa).
ni namba ya f6 na nimeshatuma kitambo sana, je kwa kesi hii tunafanyaje mkuu.