Kwa kawaida mwanaume huhitaji kufanya tendo la ndoa mara kwa mara kuliko mwanamke, ukiona mume wako anavisingizio tele ili tu asishiriki tendo hilo.
Mara leo nimechoka sana, mara kichwa kinauma, mara leo mgongo unavuta, mara joto limezidi basi hiyo ni alama tosha ya kukujuza kuwa aidha penzi lake kwako limeshuka sana kiasi cha kutolifurahia tendo hilo nawewe.
Au kuna jinsi unavyofanya naye na hapendezwi nayo au kuna sehemu anakoshiba na hana haja ya kuharibu njaa yake kwako na kama ukiona mwanamke ndio anayetoa visingizio hivi basi ujue kuna jambo au mambo hayajakaa sawa baina yenu na yanahitaji kushughulikiwa.
Kumbuka wakati wote kwamba tendo la ndoa ni mbolea ya maana sana katika kila ndoa, lisipokuwapo au lisipotolewa kwa utoshelevu husababisha mazingira hatarishi.
Mara leo nimechoka sana, mara kichwa kinauma, mara leo mgongo unavuta, mara joto limezidi basi hiyo ni alama tosha ya kukujuza kuwa aidha penzi lake kwako limeshuka sana kiasi cha kutolifurahia tendo hilo nawewe.
Au kuna jinsi unavyofanya naye na hapendezwi nayo au kuna sehemu anakoshiba na hana haja ya kuharibu njaa yake kwako na kama ukiona mwanamke ndio anayetoa visingizio hivi basi ujue kuna jambo au mambo hayajakaa sawa baina yenu na yanahitaji kushughulikiwa.
Kumbuka wakati wote kwamba tendo la ndoa ni mbolea ya maana sana katika kila ndoa, lisipokuwapo au lisipotolewa kwa utoshelevu husababisha mazingira hatarishi.