Lameck Dunia
JF-Expert Member
- Apr 24, 2013
- 291
- 45
mwalemi nguluve tange
Mwambie akuambie nilipovunja, haitakua vibaya akinipa shule hapa na usidhani kwenda shule za academy ndo kujua kiingereza, mi nimesomea kijijini na napandisha kama kawa.
hapo this is supposed ndipo ulipovunja mambo kaka
hapo this is supposed ndipo ulipovunja mambo kaka
Kama ana mtihani, mwambie keshaFAIL!
Watanzania bado sana, this is supposed to be very confidencial. What if nina kazi sehemu nataka nichomoke kimyakimya nikipiga interview nikipata ndo nimjulishe mwajiri wangu? Can you imagine ajue kuwa nina intention ya kuondoka then nipigwe chini kwenye interview- si trust inaweza kuvunjika? Si atajua niko mguu nje mguu ndani siku zote? This is a serious breach of confidentiality.
Watanzania bado sana, this is supposed to be very confidencial. What if nina kazi sehemu nataka nichomoke kimyakimya nikipiga interview nikipata ndo nimjulishe mwajiri wangu? Can you imagine ajue kuwa nina intention ya kuondoka then nipigwe chini kwenye interview- si trust inaweza kuvunjika? Si atajua niko mguu nje mguu ndani siku zote? This is a serious breach of confidentiality.
jamani wekeni hiyo link nasi tusomeNi kweli yametoka na tarehe ya usahili pia.
Mkuu hizo website huwa hawazi-update so ukitegemea upate habari kwenye hizo website za serikali utasubiri sana....
Haha haha haha mshiriki namba 1266 kipengele cha office attendand.(2.2) anaitwa Mburahat primary school.
Hee na shule nayo iliapply kaz au??
Acha hasira hata kama hujawa shortlisted, jaribu siku nyingine
...nahisi wewe utakuwa hujielewi na possibly haujui sheria za ajira, yaan kazi itangazwe publicly af iwe confidential issue tena, ungejua ukiwa ni muajiriwa na ukaomba kazi sehemu nyingine ni lazima uambatanishe info kutoka kwa muajiri wako. Don't be too selfish
Hao pccb mbona hata kazi yao siioni? hosp,mahakamani,polisi,tanesco,halmashauri,wizarani rushwa kwa kwenda mbele au wanachukuliwa ili wakabariki rushwa zaidi na wao wakila rushwa kuliko wote.
jamani wekeni hiyo link nasi tusome
...nahisi wewe utakuwa hujielewi na possibly haujui sheria za ajira, yaan kazi itangazwe publicly af iwe confidential issue tena, ungejua ukiwa ni muajiriwa na ukaomba kazi sehemu nyingine ni lazima uambatanishe info kutoka kwa muajiri wako. Don't be too selfish
We umepata?
Unauliza mavi chooni