Tulia wewe hata sisi wa wizara ya fedha bado
mkuu nenda kinondoni hospital nyuma yake ndio ofisi zilipo pia kila kitu utaeleweshwa
wadau samahani nipo nje ya mada kidogo, naomba kufahamu ofisi za OSHA hapa dar zilipo pia kufahamu kuhusu Course ya Safety management ngazi ya cheti ni Tsh ngapi?