Walioitwa jeshi la police

Walioitwa jeshi la police

99.9% ya walioitwa ni related na Polisi na vigogo serikalini
Sio kweli kuna jamaa zangu wapo nimeona majina yao walimalza mafunzo ya Jkt tangu mwaka Jana wakarudi kitaa leo nimeona majina yao ni bahat tu mkuu
 
Sio kweli kuna jamaa zangu wapo nimeona majina yao walimalza mafunzo ya Jkt tangu mwaka Jana wakarudi kitaa leo nimeona majina yao ni bahat tu mkuu

Bahati kwa mshahara gani? Police wanazidiwa kipato na machinga wauza machungwa au matikiti maji.
 
Hao wauza machungwa na matikiti maji wamekimbilia kuomba nafasi za kazi hukohuko polisi

Yes ni moja ya kuwaongezea kipato ,akipata cha polisi na akipata cha matikiti/machungwa anakuwa mbali.
 
Back
Top Bottom