Bandiwe
JF-Expert Member
- Oct 19, 2013
- 9,530
- 3,553
Anajipendekeza nini !?Mpaka leo huyu ndugai hajawahi kumjulia hali mbunge mwenzake! Tofautisha kupigwa risasi 38 na kuugua. CCTV camera kuondolewa etc!
Sent using Jamii Forums mobile app
Anajipendekeza nini !?Mpaka leo huyu ndugai hajawahi kumjulia hali mbunge mwenzake! Tofautisha kupigwa risasi 38 na kuugua. CCTV camera kuondolewa etc!
Fuateni utaratibu,pale hospitali ya Dodoma alitibiwa na madaktari wa serikali,mkakataa asipelekwe Muhimbili mkihadaa watanzania kuwa Kenyatta atamlinda.Msipofuata taratibu mtapigika tuuMpaka leo huyu ndugai hajawahi kumjulia hali mbunge mwenzake! Tofautisha kupigwa risasi 38 na kuugua. CCTV camera kuondolewa etc!
Umesema kuugua, je akipigwa risasi, hapo mbona unakwepa?
Kwahivyo sasa hivi yupo wapi?hospitali wanakaa watu gani?Umesema kuugua, je akipigwa risasi, hapo mbona unakwepa?
Si huwa mnasema Mahakama si huru? Vipi leo muiachie?Naona unatoa mawazo ya kuathiri Utendaji wa mahakama kutenda haki
Unaweza kushitakiwa mkuu kwa kujaribu kuinflunce mahakama kutoa maamuzi
Iache mahakama ifanye haki yake ya kulinda uhuru na Demokrasia ya Wananchi ambavyo ni haki zao za msingi kwa mujibu wa sheria
icc inamsubiri, MKIRU, Coco beach etc al are documented, the offing is in the pipeline!Fuateni utaratibu,pale hospitali ya Dodoma alitibiwa na madaktari wa serikali,mkakataa asipelekwe Muhimbili mkihadaa watanzania kuwa Kenyatta atamlinda.Msipofuata taratibu mtapigika tuu
Iliyopora ushindi wa ODMkama mmeiga sheria za nchi nyingine igeni na katiba ya kenya katiba bora Africa mashariki
Sent using Jamii Forums mobile app
Hamia huko. Kama hapa unapata tabu.Nimeamua kusoma Sheria za Vyama vya Siasa za nchi nyingine ili nijiridhishe kama haya mambo sisi Tanzani ndio wa kwanza,
Nimeona kwamba Tanzania sio wa kwanza.
Ukiangali Kenya ni kama sisi tumecopy na Kupest. Na wenzetu ndio mfano wa kuiga.
South Africa kuna Sheria na Pesa na Misaada tu kwenye vyama vya siasa.
Nk.
Jionee
Political Parties Act za nchi mbalimbali
Kenya
https://www.iebc.or.ke/uploads/resources/n7k15EbFt4.pdf
UK
Political Parties and Elections Act 2009 Political Parties and Elections Act 2009
South Africa
http://www.elections.org.za/content...Funding-of-Represented-Political-Parties-Act/
India
http://shodhganga.inflibnet.ac.in/bitstream/10603/93734/11/11_chapter 5.pdf
Sweden
https://www.finlex.fi/fi/laki/kaannokset/1969/en19690010_19920653.pdf
Ninaamini Mahakama itatenda haki. Bunge limalize kazi lililoanza.
Mungu Ibariki Tanzania.
Acha upuuzi wewe.Nimeamua kusoma Sheria za Vyama vya Siasa za nchi nyingine ili nijiridhishe kama haya mambo sisi Tanzani ndio wa kwanza,
Nimeona kwamba Tanzania sio wa kwanza.
Ukiangali Kenya ni kama sisi tumecopy na Kupest. Na wenzetu ndio mfano wa kuiga.
South Africa kuna Sheria na Pesa na Misaada tu kwenye vyama vya siasa.
Nk.
Jionee
Political Parties Act za nchi mbalimbali
Kenya
https://www.iebc.or.ke/uploads/resources/n7k15EbFt4.pdf
UK
Political Parties and Elections Act 2009 Political Parties and Elections Act 2009
South Africa
http://www.elections.org.za/content...Funding-of-Represented-Political-Parties-Act/
India
http://shodhganga.inflibnet.ac.in/bitstream/10603/93734/11/11_chapter 5.pdf
Sweden
https://www.finlex.fi/fi/laki/kaannokset/1969/en19690010_19920653.pdf
Ninaamini Mahakama itatenda haki. Bunge limalize kazi lililoanza.
Mungu Ibariki Tanzania.
Leo upo huku? Mmesharuhusiwa kuandamana kwa ajili ya uraia wa Zitto?Mkuu hiyo kesi wameshashindwa tayari.
Mkishindwa mtarudi kusema mahakama zinafuata maagizo toka juu. Ngoja tusubiri kifuatacho...!!Leo upo huku? Mmesharuhusiwa kuandamana kwa ajili ya uraia wa Zitto?
Narudi kwenye hoja na kukuambia wewe katibu wa uvccm kuwa mahakama siyo ccm na haitendi na kuamua kwa kukurupuka bali hujiridhisha kwa ushahidi na utetesi unaotolewa na washitaki na washtakiwa! Usipange hukumu as if ni kikao cha chama! Kaandae maandamano ya kupinga hukumu na uraia wa Zitto kana kwamba nawe ni raia ilihali ni mrundi! Pathetic!
Hata kutafasiri sheria hujui unakuja na ngonjera za ufipa hapa!Swali fikirishi jaji Mutungi Kwa Sheria hii ikipita anaouweza wa kumfutia uanachama mwenyekiti wa Lumumba? Yaani boss wake
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani kuna uongo katika hilo? Hoja yako ya mwanzo inathibitisha na ndio maana uliconclude kuwa watashindwa bila kuonyesha ninyi mtashidaje na wao watashindwaje! Maagizo kutoka juu siyo?Mkishindwa mtarudi kusema mahakama zinafuata maagizo toka juu. Ngoja tusubiri kifuatacho...!!
Nchi iuzwe mara ngapi?Kuna watu bila kuweka proper control mechanism watauza nchi