Waliofukuzwa UDOM wapelekwe JKT

Mathayo Christopher

JF-Expert Member
Dec 15, 2013
410
283
Napendekeza wale wanafunzi kwa vile walichaguliwa kisiasa na kuepusha dhana ya waalimu wa tanzania kimbilio la waliofeli basi ningeshauri wapelekwe J.K.T .au VETA hakuna namna tusihalalishe vitu maana kesho mtaanza kuwapondea wakiharibu elimu yetu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…