Tetesi: Waliofukuzwa uanachama CHADEMA waanza kugawanyika

Miaka 15 ya jasho na damu ..saa nyingine Lupango..mahakamani...nyie mmetulia tulii majumbani kwenu.. tokeni kwenye comfort zone mvae viatu vyake hata mara moja mtaona alivyo jasiri
Halima hana hata chembe ya ujasiri mbele ya aina ya siasa zinazofanywa na sisiem kwa kutumia taasisi nyeti za kiserikali. Huo ujasiri wa halima unaouzungumzia unatokana na nguvu na imani ya wanachama wa chama chake walioamua kusimama nae ili afikie malengo yake ya kisiasa, na kumbuka ndio walimpigia kura kwa hiyo miaka 15 unayoisema ili awe mbunge, hivyo halima alisonga mbele akijua ana watu nyuma yake! Dada rebeca umekuwaje leo? Kuwa na mapenzi na watu flani kusituzue kuwakosoa pale wanapokengeuka.
 
Profesa Jay mzee wa mitulinga kaonewa tu alikua chanya sana tu na hii siasa ya ukodombwi-
Namuunga mkono na miguu prof jay kuliko babutale na gwajima na mwana fa
 
Kusema ukweli Magufuli mpe kazi halima mdee,si rahisi kwa mwanamke kuwa jasiri kama hivyo,kwa nchi inayojulikana kama haiheshimu demokresia kubadili msimamo na kama mwanamke pia kuwa that strong tells you something, huyu kamanda sio kwamba hakujua sie wapiga kelele wa mtandaoni tutaongea mbovu,alijua na bado akasimamia anachotaka... Halima do your thing,wengi wetu tunaongea mbovu kwenye comfort zone ya majumbani kwetu infront of laptop/computer...VITA uliyopigana ukiwa in the real environment..ni vita halisi from the real ground, NONE of US can fight in the 'real' war as you have DONE and if they dont appreciate the hard work you did for the party and the country I DO!
mbona kwenye hati ya makubaliano ( nimeiona ) imeandikwa atapewa unaibu waziri , unataka apewe cheo zaidi ya hicho tena ?
 
Team Mdee wasimamie walichoamua kukisimamia. There’s no turning back; wasije wakageuka mawe bure!

Chama kiliingia completely kwenye catch-22 situation. A political loss was imminent, no matter how the party chose to respond. Tukisema Upinzani hawajakomaa kwenye hii sanaa ya siasa, wanaanza kuturushia matusi kama kawaida yao!
Kufuga wasaliti na kufukuzwa wasaliti kipi Ni kukomaa?
 
Habari wadau. Yajayo yanafurahisha.

Waliokuwa Wabunge wa Viti Maalum 19 wakiongozwa na Halima Mdee wameanza kutofautiana hasa baada ya kufutwa Uanachama, na mapokeo ya maamuzi hayo kwa BAWACHA wenzao na Wanachama kwa ujumla.

Kwa taarifa zilizopo ni kwamba Dada mmoja kutoka Mbeya ameungana na wenzake na wameanza kushinikiza ili waende kuonana na mwenyekiti ili kuomba msamaha.

Jambo hili limeathiri mpango wa pamoja wa kutoa tamko kulaani kuvuliwa uanachama, kutokana na baadhi kutokubaliana na matamshi yanayokinzana na misimamo yao.

Muda unakwenda kasi, muda si mrefu tutasikia mapya juu ya mchongo mzima wa jinsi suala hili lilivyokuwa, watasema wenyewe na tutaelewa vizuri.
Samahani mkuu. Wewe ni Godbless Lema wa Chadema?!
 
Mnhh kazi yako au battle yako,inakufanya ulale selo? upigwe ?? hii ndio maana halisi ya kuwa kwenye real ground naona umechukulia out of context sijaamaanisha mambo ya good time,nilikua namaanisha battles zenu sio kama za Halima Mdee, kwa mfano wewe ushapigwa kwa ajili ya kazi yako? ...

and yes hamjui pain ....kwa mfano wewe ulale selo,upitie changamoto zote alizopitia for the last 15 years JIULIZE ungeweza?..kwa nini hamrecorgnise her hard work???

Kupigwa!!

Kupigwa kwa mtu kama Halima huwa psychological tu, not physical harm... kwamba kwa heshima yake hata akisukumwa tu atashauti kuwa ameteswa sana.

Kulala selo vile vile, kwenye kazi zetu hata sisi tumelala sana na walau yeye kazi yake nono.

Lakini, baada ya kufanya aliyoyafanya... hana kinga za kuendelea kuwa considered jasiri.

You toil a long way to build your reputation, only to destroy it in a second.
 
Habari wadau. Yajayo yanafurahisha.

Waliokuwa Wabunge wa Viti Maalum 19 wakiongozwa na Halima Mdee wameanza kutofautiana hasa baada ya kufutwa Uanachama, na mapokeo ya maamuzi hayo kwa BAWACHA wenzao na Wanachama kwa ujumla.

Kwa taarifa zilizopo ni kwamba Dada mmoja kutoka Mbeya ameungana na wenzake na wameanza kushinikiza ili waende kuonana na mwenyekiti ili kuomba msamaha.

Jambo hili limeathiri mpango wa pamoja wa kutoa tamko kulaani kuvuliwa uanachama, kutokana na baadhi kutokubaliana na matamshi yanayokinzana na misimamo yao.

Muda unakwenda kasi, muda si mrefu tutasikia mapya juu ya mchongo mzima wa jinsi suala hili lilivyokuwa, watasema wenyewe na tutaelewa vizuri.
Dah aisee we jamaa ni muongo Mpaka unatia kinyaaa
Hao wabunge wote wako mbweni kwa Mdee Tena wanalazimisha Mdee akaongee na press aseme kila kitu

Wabunge wako strong Sana

Na wamekodi ukumbi pale kempisk kwa ajili ya press yao

Sasa ww hayo madudu unayosema umesikia wapi?
 
Kwa nini ccm inawapa Chadema Kiki kila siku? Ni wakati wa ccm kushika kalamu na karatasi ku analyse kila maamuzi toward chadema na ku crest different theories and possible solution!

Chadema ilitoweka kwenye masikio ya wa Tanzania, haya ccm imewarudisha mpaka tunawaonea huruma tena, kweli shetani ni Mtumishi wa Mungu wakati Mwingine aisee!

Yaani maana watu walikua wameshaanza kusahau maswala ya uchaguzi na fitina zake ila hili jambo linazidi onesha jinsi ganj ccm walivyokosa utiifu na katiba.
 
Yaani hamna akili nyie viumbe. Vikundi vyenu havitakuja kupata dhamana ya kutawala milele. Mnatukana CCM na kuidharau badala ya kujikita kwenye mambo yenu, hivi CCM kwa akili yako ndiyo imepeleka hayo majina???? Yaani kama vetting mmefeli vibaya sana, you’ll never be trusted again.

Aya
 
HAAAA HAAAAA. KWA SASA MNAHAHA NA MAAMUZI YENU YA KUWAKANDAMIZA WAMAMA HAO. HAYO NDOMADHARA YA KUFANYA MAAMUZI UKIWA UMEPANIKII. NABADO NGOJA WAMAMA HAO WATEME NONDO ZAO NA MAKOMBORA YAO, BILASHAKA MANAWAJUA VIZURIII TULIENII.

Wao sio wa kwanza kutema nondo hilo lipo linategemewa
 
Team Mdee wasimamie walichoamua kukisimamia. There’s no turning back; wasije wakageuka mawe bure!

Chama kiliingia completely kwenye catch-22 situation. A political loss was imminent, no matter how the party chose to respond. Tukisema Upinzani hawajakomaa kwenye hii sanaa ya siasa, wanaanza kuturushia matusi kama kawaida yao!
Ndo unaambiwa washagawanyika tayari
 
Jamani mimi Niko Kyela weekend hii , huyo dada wa Mbeya kama ndo yeye wanasema watamloga eti walimchangia Kyela na Tukuyu sasa kawasaliti Wanyakyusu uku tukuyu na Kyela bora apeleke ngombe akachinje kuomba msamaha
Heshima kwenu Wanyakyusa.

Dharau ya kiwango alichoonyesha huyo bibie hakivumiliki kwa watu wa Kyela. Naifahamu vyema misimamo ya watu wa Mbeya, They are very consistent.!
Aombe msamaha kwa 'kugalagala' kwenye vumbi la sivyo KARMA haimuachi.
 
Back
Top Bottom