Hatuchagui mtu kisa ametoka kanda fulani,tunachagua mtu kutokana na uwezo wake!!!
Wapare watatawaliwa na CCM maana bado wamelala fofofofooooo. Kuna jimbo la Mwanga na majimbo mawili ya Same, pale wakipewa kanga, kofia, kalenda na t-shirt za CCM kazikwisha wanasahau matatizo yote maana waliahidiwa maji tangu mwaka 1995 ila mpaka sasa wanasubiri kwa imani.
Sio rahisi kiivyo udhaniavyo kikwete kumkabidhi nchi lowassa na akina Mbowe na Ngo yao Chadema!
Umesema Kweli Hawa Wapare Wanatuangusha. Mgera Soni
Mafisi yapo kwa kinana
Ahahahaaa Greatthinker huyoo....ahahaa
Hivi ni lazima huyu jamaa awe Raisi?
Namtakia kila la kheri katika mchakato huu kuelekea magogoni na utumishi uliotukuka.
Mmawia mwambie mkuu hakuwaona wale fisi kinana aliokuwa anazunguka nao?
Ni kweli ila hakuna namna nyingine, wamezoea shida zao na hawaelewi hata wakinyonywa..... wananikera mpaka basi yani......wamewekewa Lami toka same kwenda Mkomazi hata miaka mitatu haijaisha ina mashimo na wanaona ni sawa.
wagweno wanatukanwa na maghembe eti wanaume sijui saba wa ugweno ni sawa na binti mmoja wa usangi ila wao wanaipenda ccm hawataki iacha na kutukanwa kwao.
venemanya venye.
Hao wanaohamia wasitegemee kupata uongozi wowote Ukawa. Waje kusaidia kupiga kampeni, labda ukuu wa wilaya na mkoa wanaweza kuupata.
Yaaniii wanaboaje serikali ya CCM. Hapa nane nane area six Morogoro. Wanatupa umeme saa 7 usiku mpaka 12 asubuhi. Maji wanatupa Mara 2 kwa mwezi bili ikija not less than tsh 27000/- . Barabara ya kichangani nanenane makorongo yameharibu daladala mpaka daladala zinapungua kila siku. (Hawa CCM nuksi jamani Ukawa/Chadema fanyeni vitu makini tuokoke na utumwa huu.)
Kikwete ni nani atunyime haki wapiga kura? Au ndo goli la mkono?
Viongozi wetu! acha zako viongozi wa fuata upepo wasio jitambua hapo sawa uniambie DJ mm awekiongozi wangu du!
Hata UKAWA wakimpitisha CHENGE kuwa mgombania urais, tuko nyuma yao ilimradi atuhakikishie CCM wanang'oka October....
Peoplesssssssssssssssssss
Sio rahisi kiivyo udhaniavyo kikwete kumkabidhi nchi lowassa na akina Mbowe na Ngo yao Chadema!