Mr.Venture
JF-Expert Member
- Jan 2, 2014
- 1,609
- 605
kandaa ya ziwa hatumjui mamviiii aende kuwadanganyaa kaskazin na sio uku
kandaa ya ziwa hatumjui mamviiii aende kuwadanganyaa kaskazin na sio uku
Wanaukumbi.
Tujulishane waliofuatana na EL UKAWA.
1. Ole Medeye aliyekuwa mbunge wa ARUMERU MAGH.
2. Regina Lowassa...
Wataje...
.....UPDATE....
-Madiwani 20 wa ccm Monduli.
-Madiwani wa Ccm Shinyanga.
-Ester Bulaya.
-James Lembeli.
-Diwani wa Moshono na Viongozi wa ccm kata Terrat.
- Madiwani wa ccm kahama.
mm sio mshabiki wa aliekatwa, ila hujapost kitu hapa!!!!!!!!Aliamini akiondoka yale mafuriko yake feki yatamfuata chadema, lakini mpaka sasa ni familia yake na wamasai wenzake wa monduli ndio wamemfuata huko
Ushauri wa bure tu kwa jamaa yangu unaeota urais , rudi kachunge ngombe, huna uwezo wa kuchunga wenye akili
Tunajua maumivu ya kukatwa bila ganzi ni makubwa lakini tulikata kimasai yero...
[SIZE=4 said:tunalazimika;13443478]unajua nin maaana ya chenekeeeeee !
Aliamini akiondoka yale mafuriko yake feki yatamfuata chadema, lakini mpaka sasa ni familia yake na wamasai wenzake wa monduli ndio wamemfuata huko
Ushauri wa bure tu kwa jamaa yangu unaeota urais , rudi kachunge ngombe, huna uwezo wa kuchunga wenye akili
Tunajua maumivu ya kukatwa bila ganzi ni makubwa lakini tulikata kimasai yero...
Baada ya uamuzi mzito wa wa Jemedari wetu mpendwa Kamanda Lowasa kuhamia rasmi CHADEMA,maelfu ya waliokuwa wafuasi wake mkoa wa Njombe jana walimiminika kwenye ofisi za mkoa Njombe wakiomba kujiunga na chama.Kwa bahati mbaya kadi zilikwisha mapema.Hadi kufikia jana jioni zaidi ya watu mia tatu walikuwa wakisubiri kadi ambazo ziliagizwa toka Kanda Mbeya ili waweze kupewa.Kwa bahati mbaya taarifa zilichelewa kwamba hakuna kadi hadi moja kutokana na wanachama wengi maeneo mengine ya kanda kujiunga na chama kwa siku nzima ya jana.Watu wa Njombe wamebadilika sana,wanachoma kadi za CCM na vipeperushi vingine vinavyoambatana na ccm.Habari ni kubwa,watu hawaelewi kitu.Lowasa amewaamsha wananjombe.Wanaukumbi.
Tujulishane waliofuatana na EL UKAWA.
1. Ole Medeye aliyekuwa mbunge wa ARUMERU MAGH.
2. Regina Lowassa...
Wataje...
.....UPDATE....
-Madiwani 20 wa ccm Monduli.
-Madiwani wa Ccm Shinyanga.
-Ester Bulaya.
-James Lembeli.
-Diwani wa Moshono na Viongozi wa ccm kata Terrat.
- Madiwani wa ccm kahama.
NA WALE MADIWANI WA BARIADI, KAHAMA, MAKAMU MWENYEKITI KARAGWE, LEMBELI, BULAYA wote ni Wamasai kumbe! basi wamasai wapo wengi sana nchi hii.Aliamini akiondoka yale mafuriko yake feki yatamfuata chadema, lakini mpaka sasa ni familia yake na wamasai wenzake wa monduli ndio wamemfuata huko
Ushauri wa bure tu kwa jamaa yangu unaeota urais , rudi kachunge ngombe, huna uwezo wa kuchunga wenye akili
Tunajua maumivu ya kukatwa bila ganzi ni makubwa lakini tulikata kimasai yero...
Aliamini akiondoka yale mafuriko yake feki yatamfuata chadema, lakini mpaka sasa ni familia yake na wamasai wenzake wa monduli ndio wamemfuata huko
Ushauri wa bure tu kwa jamaa yangu unaeota urais , rudi kachunge ngombe, huna uwezo wa kuchunga wenye akili
Tunajua maumivu ya kukatwa bila ganzi ni makubwa lakini tulikata kimasai yero...
Wanaukumbi.
Tujulishane waliofuatana na EL UKAWA.
1. Ole Medeye aliyekuwa mbunge wa ARUMERU MAGH.
2. Regina Lowassa...
Wataje...
.....UPDATE....
-Madiwani 20 wa ccm Monduli.
-Madiwani wa Ccm Shinyanga.
-Ester Bulaya.
-James Lembeli.
-Diwani wa Moshono na Viongozi wa ccm kata Terrat.
- Madiwani wa ccm kahama.
- Meya wa zamani wa jiji Arusha na diwani wa baraa Paul Laiser.