Hivi kumbe huyu jamaa ni mfuasi wa Lowassa?
Halafu nilisikia alikimbizwaga pale Stanbic kutokana na ile ishu ya Escrow kwa sababu kuna account moja nzito inasemekana ipo pale ya naniliu.....
Hivi kumbe huyu jamaa ni mfuasi wa Lowassa?
Halafu nilisikia alikimbizwaga pale Stanbic kutokana na ile ishu ya Escrow kwa sababu kuna account moja nzito inasemekana ipo pale ya naniliu.....
navyojua mimi arusha yote CCM imezikwa rasmi,Kilimanjaro,mbeya,morogoro,sinyanga kanda ya ziwa yote,na baada ya siku chache mtaona wengine wengi wakifuatana naye
navyojua mimi arusha yote CCM imezikwa rasmi,Kilimanjaro,mbeya,morogoro,sinyanga kanda ya ziwa yote,na baada ya siku chache mtaona wengine wengi wakifuatana naye