.....UPDATE....
-Madiwani 20 wa ccm Monduli.
-Madiwani wa Ccm Shinyanga.
-Ester Bulaya.
-James Lembeli.
-Diwani wa Moshono Paul Mathyssen na Viongozi wa ccm kata Terrat.
- Madiwani wa ccm kahama.
- Meya wa zamani wa jiji Arusha na diwani wa baraa Paul Laiser.
- MATSON CHIZII,KATIBU WA ZAMANI WA CCM DAR.
- Mwenyekiti wa ccm ARUSHA,Ole Nangoro.
-Katibu Mwenezi mkoa Bw.Kadogoo.
- Mwenyekiti wa ccm SUMBAWANGA,mwenyekiti wa wazazi SMBAWANGA.
- Mbunge wa Sikonge Said Nkumba.
navyojua mimi arusha yote CCM imezikwa rasmi,Kilimanjaro,mbeya,morogoro,sinyanga kanda ya ziwa yote,na baada ya siku chache mtaona wengine wengi wakifuatana naye
Soffy,Alhaj,na Emmanuel vipi...au watakuja baadae na vipi yule Mzee kule kwenye migodi ya madini isiyopata faida miaka nenda miaka rudi.Mtoto wa Walaloo lazima atatinga ndani.