majorbuyoya
JF-Expert Member
- Apr 1, 2012
- 1,828
- 564
Habari zenu wana-JF! Natanguliza heshima mbele.
Ndugu zangu, wengi wetu huwa tunategemea kupata taarifa kupitia mtandao huu wa kijamii kutokana na umaarufu na uhakika wa taarifa zinazowekwa hapa jamvini.
Mwezi April 18-21 kulikuwa na Interview kwa nafasi mbali mbali zilizotolewa katika Halmashauri ya wilaya ya Ruangwa na Nachingwea. Mimi nilikuwa ni mmoja wa watu waliofanya Interview pale Maktaba Complex-Dar, Nilikuwa naomba kupata taarifa kutoka kwa wana JF kama tayari wameshaita kazini au bado na kama bado je inaweza kuchukua muda gani?
Shukrani zangu kwa wote mtakaoweka taarifa hapa.
Ndugu zangu, wengi wetu huwa tunategemea kupata taarifa kupitia mtandao huu wa kijamii kutokana na umaarufu na uhakika wa taarifa zinazowekwa hapa jamvini.
Mwezi April 18-21 kulikuwa na Interview kwa nafasi mbali mbali zilizotolewa katika Halmashauri ya wilaya ya Ruangwa na Nachingwea. Mimi nilikuwa ni mmoja wa watu waliofanya Interview pale Maktaba Complex-Dar, Nilikuwa naomba kupata taarifa kutoka kwa wana JF kama tayari wameshaita kazini au bado na kama bado je inaweza kuchukua muda gani?
Shukrani zangu kwa wote mtakaoweka taarifa hapa.