Waliochaguliwa SUA tukutane hapa

Waliochaguliwa SUA tukutane hapa

jablesman

Member
Joined
Mar 26, 2015
Posts
47
Reaction score
2
Habari za asubuhi wanajamiiforum, wale waliowahi,wanaosoma sasa na wale waliochaguliwa kusoma chuo kikuu cha kilimo-SUA,tukutane hapa ili tufahamishane machache kuhusu chuo chetu, na pia ni vizuri kila mmoja akataja kozi anayosoma hapo SUA, AHSANTENI SANA naomba kuwakilisha.
 
SUA. ni chuo bora nchini Tanzania..Elimu unayoipata pale ni babukubwa..pia ni chuo kinacho tegemewa na 100% ya watanzania wote...aliepo sua . anaweza kuthibitisha haya
 
Ha ha ha acha kuwatisha madogo, cha msingi ukifika pangilia ratiba yako vizuri mambo yanaenda kimtindo. Karibuni sua wapendwa
 
Jamn wapendwa mm nmechaguliwa SUA course ya Family and Consumer Studies lakin cjui inahusiana na nn na kazi zake ni zipi. Naombeni ufafanuzi
 
Mhh hiz facult nyingine hizi
Me napita mkuu
 
Dada/kaka wa nyumbani.

Ila nadhani natania kama siyo kusema ukweli
 
Kwani SUA wametoa majina?

Majina tayari yameshatolewa kwa vyuo vilivyokuwa vimebaki, nenda kaangalie kwenye profile yako utaona ni wap umechaguliwa na kwa kozi gani.
 
SUA. ni chuo bora nchini Tanzania..Elimu unayoipata pale ni babukubwa..pia ni chuo kinacho tegemewa na 100% ya watanzania wote...aliepo sua . anaweza kuthibitisha haya

Mkuu wewe bado unasoma hapo ama ulishamaliza?
 
Jamn wapendwa mm nmechaguliwa SUA course ya Family and Consumer Studies lakin cjui inahusiana na nn na kazi zake ni zipi. Naombeni ufafanuzi

Hongera kwa kuchaguliwa hiyo kozi,ngoja wanaoifahamu vizuri wanakuja kukufahamisha kwa upana zaidi, ila inanishangaza uliwezaje kuomba kozi ambayo hauijui inahusika na nini?
 
Back
Top Bottom