SASA MKUU KUNA JAMAA amepangiwa hapo...ila kwenye join instr wameandika ada ni karibu milion 3!! sasa hii inakuaje maana jamaa hakuapplly mkopo,na home ndo kama vile tena....ye kapangwa comp science ...embu nieleweshe hapo?? na nyie mnalipa sh ngap??
MTU HUYU ALIPIMA HIV na watalamu wa maabara mkoa fulani,akaambiwa NEGATIVE.Kafika kwake/kwao alipouliza pale ndani ya familia akaambiwa,maana ya NEGATIVE ni kwamba umeathirika na UKIMWI.hivi watalamu wa sayansi ndo nini kuongea kingereza hata kwa wanakijiji.nimauaji mangapi yanatokea kwa kutokuwa na mawasiliano mazuri na mteja.tuwe nambinu za mawasiliano kwa kumwangalia mteja na uelewa wake.
MTU HUYU ALIPIMA HIV na watalamu wa maabara mkoa fulani,akaambiwa NEGATIVE.Kafika kwake/kwao alipouliza pale ndani ya familia akaambiwa,maana ya NEGATIVE ni kwamba umeathirika na UKIMWI.hivi watalamu wa sayansi ndo nini kuongea kingereza hata kwa wanakijiji.nimauaji mangapi yanatokea kwa kutokuwa na mawasiliano mazuri na mteja.tuwe nambinu za mawasiliano kwa kumwangalia mteja na uelewa wake.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.