thA goD
JF-Expert Member
- Jul 27, 2017
- 1,943
- 1,857
Adenosine TriphosphateMuscle muscle muscle
Kutoboa kutoboa kutoboa
Desa desa desa.
Andaa ATP za kutosha.
Kila la heri mkuu.
Adenosine TriphosphateMuscle muscle muscle
Kutoboa kutoboa kutoboa
Desa desa desa.
Andaa ATP za kutosha.
Kila la heri mkuu.
15 ipi wanaenda degree?Una Div. 1 point 15 kwanini umechagua diploma?
Kama upo Dar nenda Muhas Admission Officehivi joining instructions,tunapataje na hzo admssion mwenye kujua anjuze wakubwa!
Kozi nzuri sana ina simamiwa na wizara muhimbili ni teaching centre tu...nafikiri darasani hamtofika 10Mie nimechaguliwa Dental Laboratory Technology hapo muhimbili
Nashukuru Sana ndugu mungu akubariki Sana kwa kunitia nguvu na hamasaKozi nzuri sana ina simamiwa na wizara muhimbili ni teaching centre tu...nafikiri darasani hamtofika 10
Kuriporiti kwa sisi wa dental laboratory technology no jumamos trh 28. But sijajua kwa wengine coarse zingneMnaripoti lini chuoni?
Umechaguliwa coarse gan?naulz kuhusu mambo ya admssion letter na joining instructions jinsi ya kupata kwa wale waliochaguliwa diploma hapo muhas,coz nachek kwenye website yao sioni chochote ..nauliza naweza pata vipi sababu nipo mbali sana na dar,0659908606 niwhatsapp please!nipo masaka Uganda kwa sasa.
Pw pwKuriporiti kwa sisi wa dental laboratory technology no jumamos trh 28. But sijajua kwa wengine coarse zingne