Tukiwa tunasubiri joining instruction tupeane mawili matatu kwa wote tuliochaguliwa hapo na hata pia wazoefu wa chuo hicho waliowah kusoma.
Binafsi mimi nimechaguliwa diploma ya medical laboratory science but sijajua kuhusu mambo ya joining instruction pamoja na admission letter napataje maana nilienda wakaniambia nitaletewa message lakini mpak leo naona kimya. Nafikiri watakua kwenye process ya kuziandaa.
Nawasilisha
Binafsi mimi nimechaguliwa diploma ya medical laboratory science but sijajua kuhusu mambo ya joining instruction pamoja na admission letter napataje maana nilienda wakaniambia nitaletewa message lakini mpak leo naona kimya. Nafikiri watakua kwenye process ya kuziandaa.
Nawasilisha