GE2025 Walioahidiwa Ubunge ndani ya ACT Wazalendo ni watu wawili tu, Zitto Kabwe, Ado Shaibu. Wengine wanatumika tu

GE2025 Walioahidiwa Ubunge ndani ya ACT Wazalendo ni watu wawili tu, Zitto Kabwe, Ado Shaibu. Wengine wanatumika tu

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

BLACK MOVEMENT

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2020
Posts
5,487
Reaction score
14,064
Kutoka vyanzo vya kuaminika kwa asilimia 99.99 ni kwamba Ndani ya ACT Wazalendo ni watu wawili tu walio ahidiwa kubewa ubunge au kupewa ubunge nao ni Zitto Kabwe na Ado Shaibu katibu mkuu wa ACT Wazalendo. Hawa wana baraka kutoka Ikulu kwa Mamana pia hata kwa Mgombea mwenza wa CCN Nduhmgu Nchimbi.

Tegemeeni kuwaona hawa mjengoni Dodoma.

Hao wana uhakiia wa asilimia zote na wanao salia wanatumika tu hakuna hata mmoja atakaye chomoza na wanatumika bila wao kujua kwamba wanatumika.

Zitto Kabwe na Ado Shaibu ndio walibeba hoja ya ACT kushiriki uchaguzi. Na hao wawili wanajuana sana na kuna vitu wanavijua ambavyo huko ACT hakuna anaye jua hata yule Mkuu wao wa Chama.
 
Hilo lipo wazi..... haiwezezekani mgombea uraisi anaondolewa alafu wengine wanaenda kugombea ubunge, kila MTU anajua kuwa zitto amehaidiwa ubunge Toka mwaka Jana alipokutana na kikwete
 
Anakwambia Linda Heshima ya mama
 
Sana sana ni Zitto Kabwe tu, huyo Ado Shaibu hana chake pia
 
Back
Top Bottom