Walio wahi kutikisa hapa bongo

Walio wahi kutikisa hapa bongo

englibertm

JF-Expert Member
Joined
May 1, 2009
Posts
9,252
Reaction score
6,210
265051_10150280455755159_1891666_n.jpg
 
huyu aliimpa mtu uraisi wa nchi

The only King Maker in Tanzania. Hiyo kichwa achana nayo. Nakumbuka Mtikila alianza kulalama, akatolewa Petty Cash yake, akakaa kimya toka siku hiyo kwa huyo jamaa. Jamaa yenu Mengi mpaka leo hana hamu kwa huyo.

Mzee Mwanakijiji wa JF kaufyata, alishikia bango Dowans, akaletewa AlAdawi, na kesi zote akashinda za ndani na Kimataifa mara tu akaletewa Symbion, akaletewa Mama Clinton, kama haitoshi juzi kaletewa kubwa lao m Barack Hussein Obama, mitambo hiyo hiyo iliyosemwa chakavu.

Usiufyate hapo ni mchezo?

Hiyo kitu ni kichwa ya ajabu ione hivyo hivyo.
 
The only King Maker in Tanzania. Hiyo kichwa achana nayo. Nakumbuka Mtikila alianza kulalama, akatolewa Petty Cash yake, akakaa kimya toka siku hiyo kwa huyo jamaa. Jamaa yenu Mengi mpaka leo hana hamu kwa huyo.

Mzee Mwanakijiji wa JF kaufyata, alishikia bango Dowans, akaletewa AlAdawi, na kesi zote akashinda za ndani na Kimataifa mara tu akaletewa Symbion, akaletewa Mama Clinton, kama haitoshi juzi kaletewa kubwa lao m Barack Hussein Obama, mitambo hiyo hiyo iliyosemwa chakavu.

Usiufyate hapo ni mchezo?

Hiyo kitu ni kichwa ya ajabu ione hivyo hivyo.

MKuu Zomba...una maana kuwa Mtu kutumia rupia kwenye udhia inakubalika hata kama inatimiza matakwa binafsi na kuharibu maslahi ya jamii? I mean kama Mtikila was right, na akapokea petty cash akakaa kimya, je ni sahihi kuwa mhusika hakuna na makosa? Au kama mwanzo mitambo ya umeme ilikuwa mibofu mibofu (bovu) na kulikuwepo na kuongeza bei isivyostahiki, je kunyamaza kwa Mwanakijiji, na serikali na wabunge kuhusu Dowans kunaifanya mitambo hiyo kuwa safi leo? Nina maana yumkini kwa kizazi hiki kinachopita haya yakawa sahihi, lakini kinakuja kizazi ambacho hakitakubaliana kuona upuuzi huu unaoendelea.
 
MKuu Zomba...una maana kuwa Mtu kutumia rupia kwenye udhia inakubalika hata kama inatimiza matakwa binafsi na kuharibu maslahi ya jamii? I mean kama Mtikila was right, na akapokea petty cash akakaa kimya, je ni sahihi kuwa mhusika hakuna na makosa? Au kama mwanzo mitambo ya umeme ilikuwa mibofu mibofu (bovu) na kulikuwepo na kuongeza bei isivyostahiki, je kunyamaza kwa Mwanakijiji, na serikali na wabunge kuhusu Dowans kunaifanya mitambo hiyo kuwa safi leo? Nina maana yumkini kwa kizazi hiki kinachopita haya yakawa sahihi, lakini kinakuja kizazi ambacho hakitakubaliana kuona upuuzi huu unaoendelea.

Alipokea kabla hajaanza kulalama, alijisahau, si unajuwa yule anaendea gas.

Dowans in uchafu upi? zaidi ya chuki za watu kukosa ulaji?
 
The only King Maker in Tanzania. Hiyo kichwa achana nayo. Nakumbuka Mtikila alianza kulalama, akatolewa Petty Cash yake, akakaa kimya toka siku hiyo kwa huyo jamaa. Jamaa yenu Mengi mpaka leo hana hamu kwa huyo.

Mzee Mwanakijiji wa JF kaufyata, alishikia bango Dowans, akaletewa AlAdawi, na kesi zote akashinda za ndani na Kimataifa mara tu akaletewa Symbion, akaletewa Mama Clinton, kama haitoshi juzi kaletewa kubwa lao m Barack Hussein Obama, mitambo hiyo hiyo iliyosemwa chakavu.

Usiufyate hapo ni mchezo?

Hiyo kitu ni kichwa ya ajabu ione hivyo hivyo.
Kwa nyie kina zomba hicho ni kichwa cha ajabu..kwetu ss ni kilaza tu huyo
 
  1. DCI Manumba
  2. Amina Chifupa
  3. Mzee wa Jero
  4. ................
  5. RidhONE?
 
na hawa je?
 

Attachments

  • musofe.jpg
    musofe.jpg
    11.9 KB · Views: 269
  • IsaacPassport.jpg
    IsaacPassport.jpg
    71.3 KB · Views: 282
The only King Maker in Tanzania. Hiyo kichwa achana nayo. Nakumbuka Mtikila alianza kulalama, akatolewa Petty Cash yake, akakaa kimya toka siku hiyo kwa huyo jamaa. Jamaa yenu Mengi mpaka leo hana hamu kwa huyo.

Mzee Mwanakijiji wa JF kaufyata, alishikia bango Dowans, akaletewa AlAdawi, na kesi zote akashinda za ndani na Kimataifa mara tu akaletewa Symbion, akaletewa Mama Clinton, kama haitoshi juzi kaletewa kubwa lao m Barack Hussein Obama, mitambo hiyo hiyo iliyosemwa chakavu.

Usiufyate hapo ni mchezo?

Hiyo kitu ni kichwa ya ajabu ione hivyo hivyo.
hata Chadema walikuwa wapole kwenye jimbo lake, wakati wa kampeni mchezo mkuu!
 
The only King Maker in Tanzania. Hiyo kichwa achana nayo. Nakumbuka Mtikila alianza kulalama, akatolewa Petty Cash yake, akakaa kimya toka siku hiyo kwa huyo jamaa. Jamaa yenu Mengi mpaka leo hana hamu kwa huyo.

Mzee Mwanakijiji wa JF kaufyata, alishikia bango Dowans, akaletewa AlAdawi, na kesi zote akashinda za ndani na Kimataifa mara tu akaletewa Symbion, akaletewa Mama Clinton, kama haitoshi juzi kaletewa kubwa lao m Barack Hussein Obama, mitambo hiyo hiyo iliyosemwa chakavu.

Usiufyate hapo ni mchezo?

Hiyo kitu ni kichwa ya ajabu ione hivyo hivyo.

Rostam ni kiboko
 
Back
Top Bottom