Walio nyuma ya mgomo wa madaktari ni hawa...

rugo

Member
Jun 20, 2012
28
12
Kwa maoni yangu, wahusika wakuu katika kuchochea mgomo wa madaktari nchini ni wanasiasa (WABUNGE). Nasema ni wabunge kutokana na urafi na ubinafsi wao unaotokana na kujiongezea mishahara na posho kila mara huku watumishi wa umma ambao ndio wanafanya kazi kubwa katika ujenzi wa taifa wakiambulia mishahara kiduchu na mazingira magumu ya kazi. Nasema hawa waishiwa ndo chanzo kikuu cha mgomo huu kwa sababu, hebu angalia, mgomo wa mwezi wa pili mwaka huu ulikua baada ya taarifa kuvuja kuwa waishiwa hawa wamejiongezea posho na mshahara. Angalia mgomo unaoedelea sasa nao ukiangalia umekua baada ya taarifa kuvuja kuwa waishiwa mjengoni wamejiongezea tena mshahara kwa kazi ya kusinzia na kuzomea wanaopinga uozo kwa hoja. nawasilisha.
 
Nashauri wabunge wawe na maximum qualification of Form 4.Tu.
Kwani hawa wenye PHD,Masters and Madegrees wameshindwa kutumia elimu yao kuendesha Taifa hili,badala yake wanatumia hayo makwalifications kutuibia na kutesa watanzania.

wasomi wote wasiwe wabunge,na kuwa Waziri asiwe mbunge,wabunge watuwakilishe wananchi Tu,Raisi achague mawaziri mtaani.Wawe wasomi ili watekeleze matakwa ya wabunge wetu wa Form $.

What is the point Mtu na PHD yake anaenda kusinzia Bungeni.
 
Kwa maoni yangu, wahusika wakuu katika kuchochea mgomo wa madaktari nchini ni wanasiasa (WABUNGE). Nasema ni wabunge kutokana na urafi na ubinafsi wao unaotokana na kujiongezea mishahara na posho kila mara huku watumishi wa umma ambao ndio wanafanya kazi kubwa katika ujenzi wa taifa wakiambulia mishahara kiduchu na mazingira magumu



ya kazi. Nasema hawa waishiwa ndo chanzo kikuu cha mgomo huu kwa sababu, hebu angalia, mgomo wa mwezi wa pili mwaka huu ulikua baada ya taarifa kuvuja kuwa waishiwa hawa wamejiongezea posho na mshahara. Angalia mgomo unaoedelea sasa nao ukiangalia umekua baada ya taarifa kuvuja kuwa waishiwa mjengoni wamejiongezea tena mshahara kwa kazi ya kusinzia na kuzomea wanaopinga uozo kwa hoja. nawasilisha.


Lakini madaktari wana akili ya kitoto. Mwenzako akipata kwani ni lazima na wewe upate?. Na kama kuna ulazima wa wewe pia kupata ndiyo uweke maisha ya watanzania hatarini?. Udoctor ni wito na walikula kiapo kuifanya kazi hiyo. Kwa kugoma kwao ni sawa na uuaji inatakiwa tuwafungulie kesi ya uuaji wapuuzi wakubwa madaktari wa hapa Tanzania.
 
Mchawi mkubwa ni Serikali yenyewe, kwa matumizi yasiyo ya lazima, kama kununua mashangingi mafano tume ya kuratibu katiba , safari ambazo sio muhimu na convoy kubwa, matumizi makubwa ya sherehe kama miaka 50 ya uhuru, tume zisizo na tija, posho kwa viongozi kuwa kubwa sana mfano wajumbe wa kamati ya kuratibu katiba kila siku 450,000/ kwa miezi yote 18 wakiwa kazini
 
Lakini madaktari wana akili ya kitoto. Mwenzako akipata kwani ni lazima na wewe upate?. Na kama kuna ulazima wa wewe pia kupata ndiyo uweke maisha ya watanzania hatarini?. Udoctor ni wito na walikula kiapo kuifanya kazi hiyo. Kwa kugoma kwao ni sawa na uuaji inatakiwa tuwafungulie kesi ya uuaji wapuuzi wakubwa madaktari wa hapa Tanzania.

Pumbaaaaaaaaaaa
 
wabunge ukiangalia mishahara yao including allowances sio chini ya million 5, why? mbunge na daktari yupi ni more important kwenye jamii, alafu cha ajabu wanazidi kuongeza mikoa,wilaya,majimbo kwa hiyo idadi iya wabunge itazidi kuongezeka, wanajinufaisha wao kwanza.
 
wabunge ukiangalia mishahara yao including allowances sio chini ya million 5, why? mbunge na daktari yupi ni more important kwenye jamii, alafu cha ajabu wanazidi kuongeza mikoa,wilaya,majimbo kwa hiyo idadi iya wabunge itazidi kuongezeka, wanajinufaisha wao kwanza.
Mkuu, unaowazungumzia ni wabunge wa nchi gani? Au labda wewe current news zinakupita kushoto sana! Wabunge wetu wa Bunge tukufu la JMT ni juzi tu wameongezwa mishahara hadi milioni 10 kwa mwezi, wewe unazungumzia milioni 5 za wapi??/
 
Mchawi mkubwa ni Serikali yenyewe, kwa matumizi yasiyo ya lazima, kama kununua mashangingi mafano tume ya kuratibu katiba , safari ambazo sio muhimu na convoy kubwa, matumizi makubwa ya sherehe kama miaka 50 ya uhuru, tume zisizo na tija, posho kwa viongozi kuwa kubwa sana mfano wajumbe wa kamati ya kuratibu katiba kila siku 450,000/ kwa miezi yote 18 wakiwa kazini

MTENGE nakubaliana nawe kwa 100% kuwa mchawi mkuu ni serikali yenyewe. Mifano ya huo uchawi wake ni mingi mno mfano serikali inanunua mashangingi kwa viongozi wote kuanzia waziri mpaka mkuu wa wilaya achilia mbali kwa ajili ya kurugenzi na wakuu wa idara mbalimbali kisha anatokea mjinga mmoja kwa tabasamu kuuuuubwa eti anazindua bajaji ambazo zimenunuliwa ili wananchi watumie kama ambulance!

Pesa za matumizi yasiyo na tija zipo lakini za kununulia vitanda walao hata vya wodi za wajawazito na watoto hakuna!
 
Last edited by a moderator:
Nashauri wabunge wawe na maximum qualification of Form 4.Tu.
Kwani hawa wenye PHD,Masters and Madegrees wameshindwa kutumia elimu yao kuendesha Taifa hili,badala yake wanatumia hayo makwalifications kutuibia na kutesa watanzania.

wasomi wote wasiwe wabunge,na kuwa Waziri asiwe mbunge,wabunge watuwakilishe wananchi Tu,Raisi achague mawaziri mtaani.Wawe wasomi ili watekeleze matakwa ya wabunge wetu wa Form $.

What is the point Mtu na PHD yake anaenda kusinzia Bungeni.
usiku wake alikuwa anaimba nyimbo za mipasho za chama chao na akaishia kupumzika na lulu, what do u expect????
 
Lakini madaktari wana akili ya kitoto. Mwenzako akipata kwani ni lazima na wewe upate?. Na kama kuna ulazima wa wewe pia kupata ndiyo uweke maisha ya watanzania hatarini?. Udoctor ni wito na walikula kiapo kuifanya kazi hiyo. Kwa kugoma kwao ni sawa na uuaji inatakiwa tuwafungulie kesi ya uuaji wapuuzi wakubwa madaktari wa hapa Tanzania.

Kama ni rahisi kiasi hicho mbona wewe hujaitikia huo "wito"!
 
wabunge ukiangalia mishahara yao including allowances sio chini ya million 5, why? mbunge na daktari yupi ni more important kwenye jamii, alafu cha ajabu wanazidi kuongeza mikoa,wilaya,majimbo kwa hiyo idadi iya wabunge itazidi kuongezeka, wanajinufaisha wao kwanza.
Inategemea unaliangalia kutokea kona ipi. Kwa wananchi Dakitari ni muhimu kwa sababu kutoka kwao wanapata huduma za afya ambazo zinawagusa moja kwa moja. Kwa serikali Bunge ni muhimu maana ndilo linapitisha/bariki mafungu na pia likiwa kinyume serikali inatambua linaweza kuipelekea kwenye kurudia uchaguzi kitu ambacho kwetu hapa serikali itahakikisha hakitokei kwa kuhakikisha chombo hiki hakina malalamiko ya kimaslahi - lol
 
Tena wanasiasa walivyokuwa punguani huwa wanajidai kuhoji kwenye porojo tu lakini ikifikia suala la kuongezewa anasa zao kama posho na mengineyo wote wanakuwa wamoja.Yaani itaniwia vigumu sana kurudisha imani na siasa uchwara za bongo.
 
Hii nchi inakoelekea tutagawana kila mtu chake maana madai ya wananchi kwa serikali ni mengi kana kwamba ikilipa itafilisika
 
Lakini madaktari wana akili ya kitoto. Mwenzako akipata kwani ni lazima na wewe upate?. Na kama kuna ulazima wa wewe pia kupata ndiyo uweke maisha ya watanzania hatarini?. Udoctor ni wito na walikula kiapo kuifanya kazi hiyo. Kwa kugoma kwao ni sawa na uuaji inatakiwa tuwafungulie kesi ya uuaji wapuuzi wakubwa madaktari wa hapa Tanzania.[/QU wewe ndie mpuuzi na muuaji unawasapoti hayo mafisadi! Nswiiii!!! MwanaCCM MKUBWA WE!
 
Serikali ijipange upya kwenye hili la mishahara kwa ngazi zote za wafanyakazi.
 
Lakini madaktari wana akili ya kitoto. Mwenzako akipata kwani ni lazima na wewe upate?. Na kama kuna ulazima wa wewe pia kupata ndiyo uweke maisha ya watanzania hatarini?. Udoctor ni wito na walikula kiapo kuifanya kazi hiyo. Kwa kugoma kwao ni sawa na uuaji inatakiwa tuwafungulie kesi ya uuaji wapuuzi wakubwa madaktari wa hapa Tanzania.

Mpuuzi ni wewe mwenyewe ambae unabwabwaja hovyo.Wengekuwa na akili ya kitoto ungekuwa unawapeleka mkeo/watoto wako wakawatibu.Mtu mzima ovyo.
 
Back
Top Bottom