ladyfurahia
JF-Expert Member
- May 10, 2011
- 14,758
- 9,589
Habari zenu marafiki zangu
Awali ya yote nimeonelea niseme jambo hili ambalo limenishangaza na tena
kuniogopesha na zaidi ya yote limenifanya nianze kuwawaogopa wale
ambao maisha yao siku zote wanaishi kwa tamaa mbaya, sisemi kuwa
mtu asitamani kitu wala asitamani mtu la hasha nasema wengine wamevuka
mipaka yao mpaka wanamtenda Mungu dhambi kwa tamaa zao wenyewe
huku wakivutwa na zile roho zidangannyazo, na fikra zao zimejaaa uovu
mwingi sana.
Inashangaza sana kwanini mwanadamu anakuwa hana hofu ya Mungu,
wala haoni kuwa kuna Mungu aaonaye sirini kwa yale maovu anayomtenda
jamani kwaniini tunakuwa wanyama kiasi hicho? wewe una familia yako na
na mke wako unaanza kumtamani mke wa rafiki/ndugu yako hivyo? kwa
nini tunazoelea kuishi maisha ya dhambi, hiivi hamjui ya kuwa mshahara wa
dhambi ni mauti. Hebu ninikuu hapa : "Lakini kila mmoja hujaribiwa na TAMAA
zake mwenyewe huku akivutwa na kudanganywa, halafu ile Tamaa ikiisha
kuchukua mimba huzaa dhambi na ile dhambi ikiisha kukomaa huzaa mauti"
hiyo inapatikana katika kitabu cha Yakobo 1:14. Na vilevile ninukuu hapa:
Lakini zikimbie TAMAA za ujanani ukafuate haki na imani na upendo na amani
pamoja na hofu kwa wamwitao Bwana kwa mioyo safi." mwisho wa kunukuu.
Ndugu zangu kwanini tunawashwa na Tamaa mbaya mpaka inatufanya
tumtende Mungu dhambi kiasi hichi kwanini unakuwa na tamaa ya kuwaza
kumgegeda mke wa rafikio, kuwaza kupokonya mali walizochuma wenzako,
kwanini tunakuwa mafisadi hata kwa nchi yetu wenyewe, tunaua watu kwa
ushirikina wa kutaka kutajirika haraka (shortcut), kwanini tunakuwa wakatili
jamani, hivi hatujui kuwa tutatoa hesabu ya mambo yetu tuliyofanya hapa
duniani iwe ni mazuri au mabaya? Pls marafiki Tamaa ni mbaya na inasababisha
mauti kwako na unaukosa ufalme wa Mungu.
copy: Mentor, Nicas Mtei, Paloma, The secretary, amu, watu8,
Bujibuji, Jiwe Linaloishi, Asprin, charminglady, FirstLady,
Passion Lady, Lady doctor, Bishanga, Mtambuzi, Excellent,
Kipaji Halisi, figganigga, manoah, Arushaone, Erickb52,
Ruttashobolwa, Mwita Maranya, Mjeda, Madame B, Smile
kisukari, Mwali, Preta, Chimbuvu, mathematics, stevoh,
Donn, Kaizer, KakaKiiza, Mr. rocky, Filipo, Mamndenyi,
Zion Daughter, Heaven on earth, @Fp, Elli59, lara 1, mwaJ,
jouneGwalu, Ben Saanane, Lady Na marafiki wengine karibuni
ciao
Awali ya yote nimeonelea niseme jambo hili ambalo limenishangaza na tena
kuniogopesha na zaidi ya yote limenifanya nianze kuwawaogopa wale
ambao maisha yao siku zote wanaishi kwa tamaa mbaya, sisemi kuwa
mtu asitamani kitu wala asitamani mtu la hasha nasema wengine wamevuka
mipaka yao mpaka wanamtenda Mungu dhambi kwa tamaa zao wenyewe
huku wakivutwa na zile roho zidangannyazo, na fikra zao zimejaaa uovu
mwingi sana.
Inashangaza sana kwanini mwanadamu anakuwa hana hofu ya Mungu,
wala haoni kuwa kuna Mungu aaonaye sirini kwa yale maovu anayomtenda
jamani kwaniini tunakuwa wanyama kiasi hicho? wewe una familia yako na
na mke wako unaanza kumtamani mke wa rafiki/ndugu yako hivyo? kwa
nini tunazoelea kuishi maisha ya dhambi, hiivi hamjui ya kuwa mshahara wa
dhambi ni mauti. Hebu ninikuu hapa : "Lakini kila mmoja hujaribiwa na TAMAA
zake mwenyewe huku akivutwa na kudanganywa, halafu ile Tamaa ikiisha
kuchukua mimba huzaa dhambi na ile dhambi ikiisha kukomaa huzaa mauti"
hiyo inapatikana katika kitabu cha Yakobo 1:14. Na vilevile ninukuu hapa:
Lakini zikimbie TAMAA za ujanani ukafuate haki na imani na upendo na amani
pamoja na hofu kwa wamwitao Bwana kwa mioyo safi." mwisho wa kunukuu.
Ndugu zangu kwanini tunawashwa na Tamaa mbaya mpaka inatufanya
tumtende Mungu dhambi kiasi hichi kwanini unakuwa na tamaa ya kuwaza
kumgegeda mke wa rafikio, kuwaza kupokonya mali walizochuma wenzako,
kwanini tunakuwa mafisadi hata kwa nchi yetu wenyewe, tunaua watu kwa
ushirikina wa kutaka kutajirika haraka (shortcut), kwanini tunakuwa wakatili
jamani, hivi hatujui kuwa tutatoa hesabu ya mambo yetu tuliyofanya hapa
duniani iwe ni mazuri au mabaya? Pls marafiki Tamaa ni mbaya na inasababisha
mauti kwako na unaukosa ufalme wa Mungu.
copy: Mentor, Nicas Mtei, Paloma, The secretary, amu, watu8,
Bujibuji, Jiwe Linaloishi, Asprin, charminglady, FirstLady,
Passion Lady, Lady doctor, Bishanga, Mtambuzi, Excellent,
Kipaji Halisi, figganigga, manoah, Arushaone, Erickb52,
Ruttashobolwa, Mwita Maranya, Mjeda, Madame B, Smile
kisukari, Mwali, Preta, Chimbuvu, mathematics, stevoh,
Donn, Kaizer, KakaKiiza, Mr. rocky, Filipo, Mamndenyi,
Zion Daughter, Heaven on earth, @Fp, Elli59, lara 1, mwaJ,
jouneGwalu, Ben Saanane, Lady Na marafiki wengine karibuni
ciao
Last edited by a moderator: