ladyfurahia
JF-Expert Member
- May 10, 2011
- 14,758
- 9,589
- Thread starter
- #21
ndo wapi tena hapo ndg yangu? ni mbeya au?
Mapangajhejhe Studio... lol
Mapangajhejhe Studio... lol
kwani umeona dhambi kubwa ndo hiyo hakuna dhambi kubwa wala ndogo best zote ni dhambi na machukizo mbele za Mungu hivyo jitahidi sana usiishawishike na tamaa za ujanani au tamaa zako mwenyewe
ndo wapi tena hapo ndg yangu? ni mbeya au?
Na mauti ikikua na kukomaa huzaa nini?"......Tamaa ikiisha kuchukua mimba huzaa dhambi na ile dhambi ikiisha kukomaa huzaa mauti"
naupenda huu mstari
Naona umeanza kutoka nje ya topic sasa....!
Na mauti ikikua na kukomaa huzaa nini?
Naona umeanza kutoka nje ya topic sasa....!
na kifo cha milele kikikomaa...huzaa kifo cha milele
samahani kama umejisikia vibaya nkamu
na kifo cha milele kikikomaa...
Naona umeanza kutoka nje ya topic sasa....!
Na hukumu isiyoneneka ikikomaa......hukumu isiyoneneka
Wewe hujawahi kutamani mume wa mwenzio?
wewe wasema best
Tamaa mbayaa!!
bora umenisaidia kumjibu huyo asiyeelewa sijui darasani ilikuwaje nahisi walimu wake walishindwa wakamwacha aende vidato mpaka ngazi yake ya kutokuelewa
Dada ladyfurahia mbona sasa unataka kuenda kinyume na jina lako? Hivi hujui kuwa wewe ni mwalimu wetu wa kwaya? Kuna ubaya gani nikianza maswali yangu hapahapa kabla ya Mwananyamala kisiwani maana sijui hata sauti yangu yakuimbia ni yangapi.hebuu muulize huyu View attachment 100350atakujibu vyema maana mie naona tutakinzana bure na kutoka nje ya mada hapa