Walio macho muda huu tutambuane

Walio macho muda huu tutambuane

Kwel Mond bin laden ni mafuriko huwezi zuia kwa mkono
 
Wakijitia kumtolea nje kwenye hatua ya tano bora au hata tatu bora mambo ya CDM yatakua tambarare. Kwenye jopo la kuchagua tano bora wapo watu lazima wawemo kwa kuonewa aibu kwasababu ni wagombea halafu kwenye jopo wamo. hawa ni WAPIGWE TU na makamu wa rais.
 
Wakijitia kumtolea nje kwenye hatua ya tano bora au hata tatu bora mambo ya CDM yatakua tambarare. Kwenye jopo la kuchagua tano bora wapo watu lazima wawemo kwa kuonewa aibu kwasababu ni wagombea halafu kwenye jopo wamo. hawa ni WAPIGWE TU na makamu wa rais.

Wakatwe tu mkuu
 
Ndg zangu kwa nini hamna usingizi au nyie ni walinzi ofici za ccm ?

Majina ya robo fainali ya ccm haya hapa. Hii habari ni mbichi kabisa msipuuze.
. WAPIGWE TU
.BILAL
.NDANDA KOSOVO aka MAMVI
.AUGOSTINO RAMADHANI
.ASHA ROSE MIGIRO

wengine kina 6, mwenye treni la Dar, Ngwarangwara, Miguu ya ng;ombe, Chemba wanauza sura tu.
 
Ndg zangu kwa nini hamna usingizi au nyie ni walinzi ofici za ccm ?

Majina ya robo fainali ya ccm haya hapa. Hii habari ni mbichi kabisa msipuuze.
. WAPIGWE TU
.BILAL
.NDANDA KOSOVO aka MAMVI
.AUGOSTINO RAMADHANI
.ASHA ROSE MIGIRO

wengine kina 6, mwenye treni la Dar, Ngwarangwara, Miguu ya ng;ombe, Chemba wanauza sura tu.

Wapigwe tu aka babu machozi,bendera ya maembe,.mafunguo,kasisi,
 
Karibuni Sikonge huku maana gongo la leo na nyama choma ni raha tupu.

1374750850_87710_375x500.jpg
 
Ndg zangu kwa nini hamna usingizi au nyie ni walinzi ofici za ccm ?

Majina ya robo fainali ya ccm haya hapa. Hii habari ni mbichi kabisa msipuuze.
. WAPIGWE TU
.BILAL
.NDANDA KOSOVO aka MAMVI
.AUGOSTINO RAMADHANI
.ASHA ROSE MIGIRO

wengine kina 6, mwenye treni la Dar, Ngwarangwara, Miguu ya ng;ombe, Chemba wanauza sura tu.
Walio macho muda huu ni mapolisi,walinzi,wauguzi,madaktari,wezi,wakesha kwenye starehe,Tanesco,bandarin,wajenzi WA mchina,wachawi,single boys and girls etc
 
Mamvi akichukua nchi waziri mkuu atakua Pombe.
Makamu wa rais Amina Salum.
Nape atatafutiwa wilaya au ubalozi wa Zimbabwe au Somalia akatuwakilishe huko
 
Walio macho muda huu ni mapolisi,walinzi,wauguzi,madaktari,wezi,wakesha kwenye starehe,Tanesco,bandarin,wajenzi WA mchina,wachawi,single boys and girls etc

Mimi ni mlinzi ofic ya Chadema hapa Mbezi Tangi bovu wewe je ?
 
Back
Top Bottom