Walio fika nairob

Walio fika nairob

shalet

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2013
Posts
3,440
Reaction score
3,606
Habarin wana mum,
Nataraj kwenda nairob mwez wa feb on 20th nahtaji kujua garama za vyumba kwa usiku katika lodge na maeneo lodge ilipo na garama za tax ikiwezekana kutoka stand.

Najua thread sio mahal pake am sory for that.
Thanks in advance.
 
Habarin wana mum,
Nataraj kwenda nairob mwez wa feb on 20th nahtaji kujua garama za vyumba kwa usiku katika lodge na maeneo lodge ilipo na garama za tax ikiwezekana kutoka stand.

Najua thread sio mahal pake am sory for that.
Thanks in advance.

go and search here google.co.tz--- lorge pia na totoz ziwepo au..
 
Nimejaribu kusearch traveladvisor.com zipo za dollar nyingi above 500 per night.
 
Nairobi west, hotel Lazinos, vyumba vinaanzia Ksh 2500, 3000, 3500 ( Lazinos manager +254 718 732 120 Joy) hotel nzuri vyumba safi.
mvuli house ( Nairobi west) 4500 mpaka 7000. sijui bei ya tex kwakuwa nilikuwa natumia gari ya kampuni.
kwa msaada wa usafiri wasiliana na (Alex +254 727 096 433).

safari njema, hatamimi kipindi hicho nitakuwa huko.
 
Ww funguka kaka sema tu Unahitaji mrembo wa kukuonyesha jiji la Nairob na lodge za kupumzika.

Ndio hvyo afunguke, atawakuta wanasubiri stand kumpokea, aaaaah! Nairobeeee..
 
Nakushukuru TECHMAN kwa mwongozo wako je kwa kukaa wik moja natakiwa kutafuta kibali.
 
Last edited by a moderator:
Nakushukuru TECHMAN kwa mwongozo wako je kwa kukaa wik moja natakiwa kutafuta kibali.
sijajua unazungumzia kibali cha kufanya nini, ila ila unatakiwa kuwa na passport yako tu, pia unaweza kutumia pass ya muda ya africa mashariki amabayo ina isha baada ya mwaka mmoja toka siku ilipotolewa.
 
habari ya hapa na wewe ni mara ya kwanza kwenda kma mimi au mzoefu
 
Last edited by a moderator:
sijajua unazungumzia kibali cha kufanya nini, ila ila unatakiwa kuwa na passport yako tu, pia unaweza kutumia pass ya muda ya africa mashariki amabayo ina isha baada ya mwaka mmoja toka siku ilipotolewa.

inaitwa temporary passpot kwa kimombo, kama upo arusha nenda imigration inachukua siku moja na kesho ake mapema unaipata, gharama ake pamoja na uchakachuaji wa kibongo ulinigharim elf 20 tsh...! Nimemis ile swahili ya watoto wa kenya, i wl b back kwa nairobare one day.
 
habari ya hapa na wewe ni mara ya kwanza kwenda kma mimi au mzoefu

....hahaaa ondoa shaka, ukizubaa utaachwa border kama hujawah cross border, maana watu mkifika border tu watu wote wanashuka na kubak gari nyeupe, sa kama akili yako haiplay fasta unaweza kushuka na kudai ushushiwe beg lako ukidhan umefika.....tehe tehe am kidin ila inakupasa kuwa active tu au uliza mwenyej utakae kaa nae, maisha mema mkulu.
 
Last edited by a moderator:
Habarin wana mum,
Nataraj kwenda nairob mwez wa feb on 20th nahtaji kujua garama za vyumba kwa usiku katika lodge na maeneo lodge ilipo na garama za tax ikiwezekana kutoka stand.

Najua thread sio mahal pake am sory for that.
Thanks in advance.

Hotel za chini kama Hotel Ambassador Bed & Breakfast ni kama KShs 3,000 (TZs 60,000); usipokunywa chai inaweza kuwa chini kama KShs 2300 (TZs 46,000). Taxis town trip ni KShs 300.

Kama unaenda kwenye mkutano maeneo ya mjini katikakati, tafuta hotel iliyo katikati ya mji ili uepuke gharama za taxis. Bei za guest house sijui
 
wiseboy thanks nipo dar lakin muda bado upo nitafuatilia arusha hyo passport.
 
Last edited by a moderator:
habari ya hapa na wewe ni mara ya kwanza kwenda kma mimi au mzoefu

I would advise ukae katika hotels zilizoko katikati ya jiji, its cheaper and more convinient especially if you are traveling by bus, I'm in Nairobi, tell me do u want a 5 star, 4 star 3 star hotel accommodation or just a clean n safe bed n breakfast hotel?, I'll suggest some katikati ya jiji....mateosho@gmail.com
 
Last edited by a moderator:
Jiandae na wakora na makarau kila kona. Kumbuka kutembea na doc's zako popote uendapo cz hakuchelewi kunuka ukaenda kulala police.
 
....hahaaa ondoa shaka, ukizubaa utaachwa border kama hujawah cross border, maana watu mkifika border tu watu wote wanashuka na kubak gari nyeupe, sa kama akili yako haiplay fasta unaweza kushuka na kudai ushushiwe beg lako ukidhan umefika.....tehe tehe am kidin ila inakupasa kuwa active tu au uliza mwenyej utakae kaa nae, maisha mema mkulu.

Hahhahahha umenikumbusha dogo m1 tulivyoshuka kugonga mihuri pale namanga upande wa TZ akabaki pale pale wakati gari lilishavuka upande wa pili. Tunataka kuondoka simuoni dogo nkamshtua konda tukaanza kumtafuta tukaja kumkuta pale uhamiaji TZ amesimama. Dah nilimuonea huruma ikabidi from there awe best yangu kila kitu nikawa namdirect
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom