kwa wajibu wa ratiba ambayo wameisambaza vyuoni wamesema tar 17-30 august 013 ni kutangaza waliochaguliwa na muhula wa masomo utaanza tar 15 october upo hapo?wakuu naomba mnijuze hivi selection za wizara ya afya zitatoka mwezi gani?mwenye kujua anisaidie
Nimeapply kozi mbil mkuu diploma ya co na medical labaratory Ila nimetokea form 4 2012 lakini bio nina c,chemc phy d,engl d ila mkuu nina f ya math ndo inaniumiza kicKwa mkuuKuanzia wa kumi ndo upite pite kwenye web yao!umeapply nn?
Sawa mkuu nimekusoma vp ushindani katika clinical officer na medical labaratory tech maana nimetokea form 4 2012 ila nina f la math ndo linaniumiza kichwa huko kwengine fresh sababu nina bio c,chem c,phy d na english dselection inabidi zitoke mwezi wa 8 mwishoni kama hakutokuwa na uzingizi wa wizara ya afya ili mwezi wa 9 ujiande kisha mwezi wa 10 muhula uanze ndio huwa wanafanya hivyo lakini kuanzia mwaka jana wamekuwa wakizingua kutoa so inaweza ikachelewa mpaka mwezi wa 10 katikati so jipange kwa lolote kuwahi kutoka selection hizo au kuchelewa!!
Pia uwe unapita website yao mara kwa mara unaweza kukuta taarifa yeyote
www.moh.go.tz
Sawa mkuu nimekusoma vp ushindani katika clinical officer na medical labaratory tech maana nimetokea form 4 2012 ila nina f la math ndo linaniumiza kichwa huko kwengine fresh sababu nina bio c,chem c,phy d na english d
omba mungu tu,kuna dogo alikuwa na C' masomo yote ya sayansi akakosa mwaka jana,ushindani ni mkubwa sana kule.
halafu huwezi kuwa hizo pass ukaomba diploma co labda cheti ca ikiwa mwaka jana nilikuwa na div ii 21 wakanipiga cheti ca hapa nilipo wala hajanipiga co sembuse wewe na tokeo hilo.sawa mkuu naamini allah atasaidia tu
Mkuu wakati wenyewe wameandika katika fomu zao kwamba katika kozi za diploma wanataka bio uwe na c chem c na phy uwe na d sasa mboni unataka ukatishe watu tamaa mkuu nenda kasome vizuri vigezo vyao uone. kwa uwezo wa Allah nitachaguliwa tuhalafu huwezi kuwa hizo pass ukaomba diploma co labda cheti ca ikiwa mwaka jana nilikuwa na div ii 21 wakanipiga cheti ca hapa nilipo wala hajanipiga co sembuse wewe na tokeo hilo.
mkuu wakati wenyewe wameandika katika fomu zao kwamba katika kozi za diploma wanataka bio uwe na c chem c na phy uwe na d sasa mboni unataka ukatishe watu tamaa mkuu nenda kasome vizuri vigezo vyao uone. Kwa uwezo wa allah nitachaguliwa tu
omba mungu tu,kuna dogo alikuwa na C' masomo yote ya sayansi akakosa mwaka jana,ushindani ni mkubwa sana kule.
Atubishani mkuu tuna elekezana tu! Ngoja niandke jinsi walivyoandika katika fomu yao4m4 ukasome diplomaaa bongo hii au kenya???.dogo acha ubshi 4m zlizo tolewa zlikuwa ni dploma nagred A ktk 4m moja ivo ww ilibd uchague levo yko ndo ujaze,unajaza koz moja tuuu! kwa- 4m moja.4m-4 uende dploma ata km uwe na one point7 uend kwa tz hii!! ukuOmba ushaur! any way subr majb mwez -8.
4m4 ukasome diplomaaa bongo hii au kenya???.dogo acha ubshi 4m zlizo tolewa zlikuwa ni dploma nagred A ktk 4m moja ivo ww ilibd uchague levo yko ndo ujaze,unajaza koz moja tuuu! kwa- 4m moja.4m-4 uende dploma ata km uwe na one point7 uend kwa tz hii!! ukuOmba ushaur! any way subr majb mwez -8.
acha ubishi ndugu kuna wa2 mwaka jana wamepata...
Kwa uwezo wake Allah nitapata tu nafasiacha ubishi ndugu kuna wa2 mwaka jana wamepata...
Si huyo hamisi na yussuf apo juu wanabisha ebu watoe matongotongo mkuupoa!kaka nimekusoma kweli umeapply maana maelezo ndivyo yalivyo nani anayebisha bila ya kusoma maelekezo(no research,no right to speak)
si huyo hamisi na yussuf apo juu wanabisha ebu watoe matongotongo mkuu