nafikiri humu wapo wenye akili kidogo wataelewa,ukiangalia hiyo sifa kwa aliyemaliza f6 awe na e za pcb kwa ukweli ni kwamba ana iii ya point 15 huyu anasifa hata ya kwenda chuo kikuu kwa kozi yoyo lakn tuko nao hapa waliwekwa kuchukua cheti kati ya wanachuo wote 33 watu 8 tu ndio f4 na hao hawana kama hiyo f ya physics ya kwako.
Kiukweli wewe ukipata basi ujue sekta ya afya ni ya kwenda na vilaza. Wapo ninaowajua mimi walikuwa na pass nzuri tu kulinganisha na ya kwako walikosa wameamua kuomba mwaka huu ndo unaenda kushndana nao na f yako hyo tena eti diploma ha ha ha ha ha wewe anza kuangalia pa kwenda tu hapo ulishakosa kwani tar 17-30 august siyo mbali.ulishalaza mwaka wewe.
hana F ya physics amesema ya math ambapo ufaulu wa math ni kama sifa ya ziada tu,ucmkatishe tamaa