Walio apply wizara ya afya

Walio apply wizara ya afya

Haya kk umeshinda kwa maneno yako machafu kama mungu kapanga upate utapata tu kma hakujaria bac mungu ni mku atafanikisha tu tuckate tamaa jamaa zangu wakina Sheko na mr Ben kwa maneno ya watu...!
Pamoja mkuu!
 
Mbona majibu yenu hayaeleweki? kama huna jibu sahihi nyama 2 wengine waseme.
 
Daa! kuna jamaa humu ndan anaxema kwa form4 alie apply diproma ni inshu xna kuchaguliwa so kanikatisha tamaa kabisa yaan coz hatuna haadh ya kuchaguliwa mi ngoja nifanye mishe nyingine sinampango nao tena kwa mtindo huu wakuu balaa....!
 
jamani vipi kwa form 4 walioaply course ngazi ya certificate na yenyewe ni ngumu kupata?
 
jamani vipi kwa form 4 walioaply course ngazi ya certificate na yenyewe ni ngumu kupata?

Hawo watapata bila shida yaan ili mradi tu awe na sifa zinazotakiwa so ki ukweli wajiandae kwenda chuo mkuu!
 
4m4 ukasome diplomaaa bongo hii au kenya???.dogo acha ubshi 4m zlizo tolewa zlikuwa ni dploma nagred A ktk 4m moja ivo ww ilibd uchague levo yko ndo ujaze,unajaza koz moja tuuu! kwa- 4m moja.4m-4 uende dploma ata km uwe na one point7 uend kwa tz hii!! ukuOmba ushaur! any way subr majb mwez -8.

Duniani kote diploma inasomwa na form 4 ukiona wewe form six unasoma dip basi ujue umefulia

Sent from my BlackBerry 9700 using Jamii Forums
 
Daa! kuna jamaa humu ndan anaxema kwa form4 alie apply diproma ni inshu xna kuchaguliwa so kanikatisha tamaa kabisa yaan coz hatuna haadh ya kuchaguliwa mi ngoja nifanye mishe nyingine sinampango nao tena kwa mtindo huu wakuu balaa....!
Ushakata tamaa mkuu usihofu wanaweza
Wakakushusha hadi cheti
 
Kaka ucbishane nw wanaiga maisha yan wanakopy paste bila kuedit kweny error hao form 4 waache waone wenyew
 
Acheni kuzingua bwana form 4 diploma anaenda tu kama ana vigezo.Acheni wenge
 
Back
Top Bottom