Walinzi wa marais wanatumia vipi muda wao?

Walinzi wa marais wanatumia vipi muda wao?

Umesahau azimio la Arusha kuhusu miiko ya uongozi Mwl Nyerere alisema "hatuwezi kutawaliwa na kiongozi muhuni huni tu"
Kuwa na mpenzi au mwenza sio uhuni. Falling in love is something natural that happens to almost all human beings.
 
Japo ni kwa ufupi lakini naomba wajuzi wa maswala haya wanisaidie juu ya hawa jamaa wanaosimama nyuma ya watawala wetu. Napata shida nikifikiri muda wanaotumia na kwamba kila muda Rais alipo na wao wapo wanapata vipi muda wa 'ku kwich kwich'. Ina maana hawana familia.

Naomba kuwasilisha
Askari sio binadamu wa kawaida, Kuna mafunzo hupatiwa Ili kuwa tayari kukosa baadhi ya haki kwa maslahi ya taifa!, (kwa mfano;- kuwa tayari hata kufa), linapikuja suala la kijamii, wengi Wao wameoa Na wana familia zao, lakini muda wanaopata kukaa Na familia zao Ni mdogo kulinganisha Na akina sie free style life maker!. Na muda wanaopata kukaa Na familia zao kwanza Ni likizo Na muda ambao wanaowalinda hawaonekani hadharani. Kimsingi sisi tunawaona zaidi wanapoonekana viongozi Na baada ya hapo wanajua wenyewe!.
 
Askari sio binadamu wa kawaida, Kuna mafunzo hupatiwa Ili kuwa tayari kukosa baadhi ya haki kwa maslahi ya taifa!, (kwa mfano;- kuwa tayari hata kufa), linapikuja suala la kijamii, wengi Wao wameoa Na wana familia zao, lakini muda wanaopata kukaa Na familia zao Ni mdogo kulinganisha Na akina sie free style life maker!. Na muda wanaopata kukaa Na familia zao kwanza Ni likizo Na muda ambao wanaowalinda hawaonekani hadharani. Kimsingi sisi tunawaona zaidi wanapoonekana viongozi Na baada ya hapo wanajua wenyewe!.
Ila kweli eee!!!
 
Jamaa kaangalia upande mmoja tu. Tena nafuu ya wale wanaweza kuwa wanabadilishana kuliko mshusika mwenyewe kila anakoenda ni ving'ora na msululu mirefu ya magari na watu sasa kama anataka kuchepuka kidogo atachepukaje na mikamera kibao na mimacho yote ile?! Hata useme kama mhusika mwenyewe ni mwanaume anataka kutongoza au mwanamke kutongozwa itakuwaje na ni saa ngapi?
Anatumia watu kuimbisha,na jumba dogo lolote ndo linamaliza mchezo mzima,tangulia mkoa fulani.
Sasa mbona hujauliza huyo wanayesimama nyuma yake anapata muda huo saa ngapi bila kusimamiwa?
 
Sidhani kama anapata muda wa kutosha wa kupumzika na familia yake coz mr president ratiba yake huwa imebana sana.
 
ungejua hao walinzi wa viongozi wapo na muda mwingi zaidi wa kukaa bila kazi kuliko wewe hata usingeleta huu uzi hapa
 
Umesahau azimio la Arusha kuhusu miiko ya uongozi Mwl Nyerere alisema "hatuwezi kutawaliwa na kiongozi muhuni huni tu"
Waziri mmoja mdogo alikutwa na mama wa barabarani huko,akamundikia waziri mkuu barua ya kujiuzulu,na kwa jinsi waziri mkuu alivyokasirika wala hakumjibu,aliteua tu mtu mwingine basßs.
 
Na kwa mfano akipata tumbo la kuhara la gafla inakuaje hapo? ?
 
Kwanini unataka kujua na sio sehemu ya kazi au taaluma yako?? Ya kaesaei muachie kaisali simple
Kwani wewe hupenda kujua vilivyo kwenye Taaluma yako tu?Hivi hata kujua kwanini vifungo vya mashati ya wanawake viko kushoto na vile vya mashati ya wanaume viko kulia unahitaji uwe fundi nguo?
Mambo mengine ni kupanua uelewa wa mambo ya kawaida yanayozunguka jamii...ni sawa na mwanao kujua namna ya kupiga chapati wakati hatazamii kuwa Ground Chef
 
Yaani wewe ulichoona nikwamba wanakosa muda wa 'ku kwich kwich' wala huulizi wanapata wapi muda wa kuongea na watoto wao, jamii inayowazunguka mfano kuhudhuria shughuli za kijamii kama mazishi! wewe unachowaza ni KATIKATI YA MIGUU, CHINI YA KITOVU BASI!
Comrade...
Inahitaji kua wavumilivu sana, ili tuendane na hawa vijana humu jf
 
Hiyo kazi mimi siiwezi hata kidogo, sasa ikitokea umempenda totoz na unataka mkafyatuane huo muda wa kuongea nae au kuomba namba ya simu unaupata wapi, mmmmh mimi kazi inayoninyima nafasi ya kutosha kufyatuana na totoz siiwezi
 
Muda wanapata bana....wana shift na wasiokuwa na shift mkulu anapokuwa home nao wanaenda makwao....still nyumba ya mkulu inalindwa tu muda wote na wenye zamu siku husika.
 
Waziri mmoja mdogo alikutwa na mama wa barabarani huko,akamundikia waziri mkuu barua ya kujiuzulu,na kwa jinsi waziri mkuu alivyokasirika wala hakumjibu,aliteua tu mtu mwingine basßs.
Tunamshangaa Lipumba ati alisubiri ajibiwe!! Watu wamejaza nafasi yeye bado anaweweseka.

Mwenyekiti ni Mtatiro.
 
Back
Top Bottom