Wasilipe me sidhani kama wangeona hata sumnyi kutoka kwanguWamezidi uboya
Wasilipe me sidhani kama wangeona hata sumnyi kutoka kwangu
sijui wanahuruma sana ? me hata sielewi mi nimbishi kutoa michango ya kijingaHahahaha mama hivi walimu unawaonaje?
Pamoja na kutumiwa na ccm kama misukule bado hawajitambui
Wapo kama kenge, hadi waone damu inatoka masikioni ndo wajue kimenuka. Wananung'unika kwenye mablenketi usiku wamelala balaa.Safi sana
Lazima kuchangia na wala sio ombi.
Kibwagizo ni hapa kazi tu
ushirikina huo mm walasabuduTatizo liko wapi? Jukumu la Mwenge ni muhimu hasa kumulika penye kiza