Zihifadhiwe stoo ya shule mtoto akimaliza shule apewe simu yake.Kuharibu mali kwa njia hiyo ni kufuru!Angefanya nini kwa hao wanafunzi ikiwa sheria za shule haziruhusu?
Basi sawa!Aliepiga picha.
sawa kwa kiasi kikubwa walimu tusaidieni maana nyie mnaaishi na watoto wetu kwa muda mwingi huko shuleniWazazi hamuelewi tu jinsi hizi simu zilivyoharbu watoto, wakati unafundisha kumbe mtu anachat kwenye simu. Kingine pia wale wasio na uwezo wa kununua wako radhi kulala na mtu yeyote yule ili mradi na yeye awe anachat. Wazazi tushirikiane kwenye swala hili.
Hii imenikumbusha miaka ya 2004 nikiwa Form five pale Jitegemee High school ilipitishwa Rokoo ya kusachiwa katika mabegi watu wengi walikamatwa na vitu vingi wengineo Simu, Condom, na vidonge vya uzazi wa mpango. Shuleni kuna vibweka sana. Na waliokutwa na ivyo vitu waliitiwa wazazi wao na afande *Mkisi *aliwapa adhabu.. Maisha
Ni vema wanafunzi waanziwe mapema utii wa sheria, ikicheleweshwa kufanyika ndio watakaoenda kujenga mabondeni na kukataa kuvunjiwa nyumba kwa kukimbilia mahakamani...Zihifadhiwe stoo ya shule mtoto akimaliza shule apewe simu yake.Kuharibu mali kwa njia hiyo ni kufuru!
kweli kabisa...nina shemeji yangu, form six now nakumbuka alikua anataka smart phone basi tricks halizokua anaWazazi hamuelewi tu jinsi hizi simu zilivyoharbu watoto, wakati unafundisha kumbe mtu anachat kwenye simu. Kingine pia wale wasio na uwezo wa kununua wako radhi kulala na mtu yeyote yule ili mradi na yeye awe anachat. Wazazi tushirikiane kwenye swala hili.