Wale mlionitukana niliposema kuwa Kapombe ana Nuksi kila akifanya Pre Match Meeting mpo wapi sasa?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,689
109,119
Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King. Ifike muda sasa muwe mnanielewa na mkubali kuwa Nimebarikiwa vingi na Mola sawa?

Ni Mchezaji mwenye Nuksi mno SSC. Na kudhihirisha hilo hata sasa Kocha amemtoa Nuksi wenu Kapombe.

99,% ya Pre Match Meeting alizofanya Simba SC imefungwa na chavhe sana imeshinda tena kwa taabu mno..

Kudadadeki.
 
Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King. Ifike muda sasa muwe mnanielewa na mkubali kuwa Nimebarikiwa vingi na Mola sawa?

Ni Mchezaji mwenye Nuksi mno SSC. Na kudhihirisha hilo hata sasa Kocha amemtoa Nuksi wenu Kapombe.

99,% ya Pre Match Meeting alizofanya Simba SC imefungwa na chavhe sana imeshinda tena kwa taabu mno..

Kudadadeki.
Mpira haujaisha
 
Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King. Ifike muda sasa muwe mnanielewa na mkubali kuwa Nimebarikiwa vingi na Mola sawa?

Ni Mchezaji mwenye Nuksi mno SSC. Na kudhihirisha hilo hata sasa Kocha amemtoa Nuksi wenu Kapombe.

99,% ya Pre Match Meeting alizofanya Simba SC imefungwa na chavhe sana imeshinda tena kwa taabu mno..

Kudadadeki.
Tumepoteza nafasi nyingi sana bila shaka jamaa wamesomea albadir langoni kwao...
 
Tunaokujua huwa una vijinasaba vya kutafuta mahali ambapo utajibanza kuondoa machungu yako .... Umekuja na issue ya kapombe baada na ajari ya washabiki....

Popoma kesho njoo nikupe jezi ya Mamelod nikukande nayo. Asante mama Samia kuiwezesha Aly Ahly kwa ushindi huu.🙏🙏🙏🙏🤭🤣
 
Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King. Ifike muda sasa muwe mnanielewa na mkubali kuwa Nimebarikiwa vingi na Mola sawa?

Ni Mchezaji mwenye Nuksi mno SSC. Na kudhihirisha hilo hata sasa Kocha amemtoa Nuksi wenu Kapombe.

99,% ya Pre Match Meeting alizofanya Simba SC imefungwa na chavhe sana imeshinda tena kwa taabu mno..

Kudadadeki.
ha ha kweli ana nuksi
 
Duh! Kweli uwezo unao.

Ngoja msimu ujao Mangungu afanye usajili wa mshambuliaji hatari mno Coplo Samson Mbangula toka Prisons FC. Simba bingwa wa Caf msimu ujao.
 
Back
Top Bottom