Walimu wapata neema

Walimu wapata neema

Ya Kale

Member
Joined
Nov 13, 2016
Posts
8
Reaction score
4
"Kwakweli tumechoka kuonewa, kutukanwa na kunyanyaswa na waajiri wetu" ndivyo anavyoanza kusimulia Mwalim Kerambo. Kerambo ambaye ni miongoni mwa wahamasishaji juu ya chama kipya cha walimu wa shule binafsi.

"Kwa miaka mingi walimu katika shule binafsi wamekuwa wakilalamikia kukosa haki zao. Kerambo anataja haki hizo kama vile likizo yenye malipo. Kufukuzwa kazi bila kufuata sheria, kufanyishwa kazi hata zinazotweza utu wao, n.k

Chama hicho kipo katika hatua za mwisho za usajiri.

Imeandikwa na Kerambo, P.M
0716444013/0767444713
philemonkrmb7@gmail.com
 
Mkuu Kama na wewe ni mwalimu utakua janga. Wewe ukiangalia hiyo Neema waliyoipata iko wapi? Ila hongera kwa kuanzisha uzi wako
 
Aisee.........

Chama nacho ni Neema?

Mbona kipo kile CWT lakini hakuna chochote?
 
"Kwakweli tumechoka kuonewa, kutukanwa na kunyanyaswa na waajiri wetu" ndivyo anavyoanza kusimulia Mwalim Kerambo. Kerambo ambaye ni miongoni mwa wahamasishaji juu ya chama kipya cha walimu wa shule binafsi.
"Kwa miaka mingi walimu katika shule binafsi wamekuwa wakilalamikia kukosa haki zao. Kerambo anataja haki hizo kama vile likizo yenye malipo. Kufukuzwa kazi bila kufuata sheria, kufanyishwa kazi hata zinazotweza utu wao, n.k

Chama hicho kipo katika hatua za mwisho za usajiri.

Imeandikwa na Kerambo, P.M
0716444013/0767444713
philemonkrmb7@gmail.com
Hicho chama kitapata wapi pesa kama sio kutaka kuwaongezea mzigo wa makato walimu
 
ninawaheshmu sana walimu, ila hcho chama ktatengeneza vilaza, umeandika kama umeruka senyenge za luteni kanali kipingu enz za makongo!
 
Back
Top Bottom