chakula cha watoto
JF-Expert Member
- Apr 25, 2023
- 462
- 974
Walimu waliokuwa wanamark mitihani ya taifa ya form four 2023 kituo cha korogwe ttc mpaka Leo hawajalipwa pesa zao ilihali huku kote wamepewa. Wakidai hizo pesa wanatishiwa kufukuzwa kazi. Wanaambiwa ole wenu mpaze sauti tutawafukuza kazi muone kitaa kulivyo kugumu