Walimu waliopoteza maisha MV Nyerere

Walimu waliopoteza maisha MV Nyerere

Ketoka

JF-Expert Member
Joined
Sep 23, 2015
Posts
1,121
Reaction score
1,981
Walimu waliopoteza maisha katika ajali ya MV Nyerere

1,Badebi m.Masunga-s/m Mabule Ukerewe

2,Augustine Malindi-s/m Bukungu Ukerewe

3,Albert Mongela-s/m Amani Ilimela

4,Ligwa Lubinza-s/m Nyang'ombe Ukerewe

NB,eitha Albert na Ligwa ni Mme na mke wameacha mtoto mchanga

Poleni Walimu Tanzania kwa kuwapoteza Walimu wenzio kwenye ajali ya MV Nyerere
 
Upkuna watu wengi sana wamepoteza maisha humo kutueleza habari za walimu watatu wawili ni upuuzi tu kama upuuzi mwingne ,
unataka vya pool table as mbona una inama
 
Upkuna watu wengi sana wamepoteza maisha humo kutueleza habari za walimu watatu wawili ni upuuzi tu kama upuuzi mwingne ,
Kwa akili hizi sijui kama unapata hata nafasi ya kutawaza!
 
Upkuna watu wengi sana wamepoteza maisha humo kutueleza habari za walimu watatu wawili ni upuuzi tu kama upuuzi mwingne ,
Ametaja watu anaowafahu waliopoteza maisha kwenye ajali hiyo. Sioni kama kuna ubaya
 
Wapo Watumishi Wa Serikali Wengi Sana
Kuna Clinical Officer Mmoja
Anaitwa Norbert Kairo Alikuwa Bukiko Kituo Chake.
 
Anhaa kwahiyo na manesi ,polisi,fundi ujenzi,fundi cherehani nao waje hapa wataje ,je watoto walokuwa kwenye ajali hiyo nani atawawakilisha ,vipi walala hoi ,mvua saba kazi ngumu nani atawasemea

Mm nafikiri angeanza na kutoa pole Kwa wote then walimu iingie kama sub topic.

Anyway ni mawazo tu chief
mbona unamshambulia bila kosa kwann na wewe usipost hao unaowafahamu
 
Back
Top Bottom