Ualimu ni kada moja ambayo ikitumiwa vizuri itaweza ama kulinusuru taifa au kuliangamiza kabisa. Watu wa kada hii(walimu) wapo karibu sn na jamii kubwa ya wananch ambapo kwa kiasi kikubwa huwa wanaaminiwa kwao. Rai yangu kwa walimu ni kuwa wafanye kaz yao ipasavyo ikiwa ni pamoja na kuufunua ukweli juu ya kiongoz au mtu yeyote asiyekuwa na mapenz mema na Taifa letu. Tetesi za kwamba wanapuuzwa na kuonewa waziweke kando ili tuirudishie nchi yetu hadh yake. Chonde chonde walimu wajengeeni raia maadili mema, Tanzania ni ya kwetu wote.