Walimu walimu walimu

Walimu walimu walimu

imma.one

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2011
Posts
542
Reaction score
37
Je! wewe ni mwalimu?
Umetafuta kazi bila mafanikio?
Unafanya kazi kwa mshahara usiodhizika nao?
Umepangwa usikokupenda au unafanya kazi kwenye mazingira magumu?
unauwezo mzuri na mwenye kujiamini.
TEACHERS'S JUNCTION Tunaojihusisha na kutafutia shule walimu bora.
kwa sasa tunazo nafasi za walimu wenye.
1. Certifiacte in Nursery teaching
2.Cerificate in primary teaching
3.Diploma in education
4.Degree in education
kwenye mikoa ya Dar,Moro,pwani na Arusha.
Tembelea ofisi zao Dar es salaam magomeni mapipa mtaa wa Dosi.
Kwa maelezo zaidi piga.
0655-492431 tigo
0682-586906 airtel
0753-810857 voda
tunajihusisha na shule za watu binafsi tu.
 
Wote waloifanya teachers' kuwa hapa wanaarajiwa kualikwa kwenye maadhimisho yako mwezi wa tisa ya kutimiza mwaka mmoja
 
shida haw jamaa wataanza kusema usaili kwenda dar wakati mtu anatoka sumbawanga. kama kazi ingekuwa ya uhakika kwenda kituoni ingekuwa safi. ukafanyiwe usaili dar kwa gharama zako je wakileta usanii nani alipe ghama hizo
 
Hahaha yaan unashindwa kupeleka cv yako sehemu usika mpaka watu wakupelekee.Huu ni wizi!!shule zote izi lol.wajinga ndio waliwao.
 
Mheshimiwa me ni mwl wa economics na commerce. Hata leo nipo tayari naombeni hyo nafasi
 
matangazo ya namna hii nayaonaga ya kisanii sana kwangu mimi!!!!!!!!!
 
MIE NI MWALIMU WA GEOGRAPHY NA CIVCS/GS HADI HAPA NPO NAPELEKA BARUA ZANGU KWA SHULE MBALI MBALI, NAHITAJI KUFANYIA KAZ MORO, NITAFUTIENI MORO. use: naxfra@yahoo.com
 
Back
Top Bottom