Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na wewe junior wako anasoma wapiRafiki yangu watoto wake walipata admission ya international school kwa kuwa ni vipanga mno. Ni wale watoto wa A+.
Sasa hiyo shule wanasoma na watoto wa madaktari bingwa, top lawyers, business tycoons you name it.
Hizo trip za tennis Swaziland, mzazi unachanga 300k, wakirudi hujalala sawa kuna golf trip SA.
Yaani anawakalisha kila siku anawaambia mmefuata elimu pale hamkwenda kucheza tennis.
Lakini mwisho wasiku huwezi kuwanyima kila kitu.
Kule ulikomlipia adaNa wewe junior wako anasoma wapi
umemkomoa haswa, amakweli wewe ni wauswahilini.Kule ulikomlipia ada
Teh teh jibu kuntu katoka ndukiiiKule ulikomlipia ada
Mlipata kibali cha wizara ya elimu? Mitihani ya taifa mnavwaandikisha wapi? Nina hamu ya kufahamu haya plsMimi na mke wangu watoto wetu elimu ya msingi tunafundisha wenyewe, mkubwa wao yupo form 3 naye tulimfundisha wenyewe na anafanya vizuri maana toka form one hajawahi kupata nje ya B+... kila siku hawa wadogo kuamka saa moja asubuhi ibada, mazoezi, chai, shule mpaka saa tano..
NIGERIA NDO INAWEZEKANAMlipata kibali cha wizara ya elimu? Mitihani ya taifa mbawaandikishia wapi? Nina hamu ya kufahamu haya pls
Kama ni chadema acha upigwe tu
Hata Ulaya wanafanya lakini unapata kibali kutoka kwa afisa elimu, na mtoto snakaguliwa kila mwaka kama yuko kwenye curriculum levels.NIGERIA NDO INAWEZEKANA