Kitaeleweka
JF-Expert Member
- Jul 30, 2012
- 394
- 88
Kama rais alikua na hukumu ya kesi tangu jana ina maana yy yuko juu ya sheria coz yale yaliyoamuliwa leo jana alishasema mf kurudi kazini na kufidia muda uliopotezwa, notisi kucheleweshwa nk hivi anategemea walimu wawe na moyo wa kufundisha kweli? Mwalimu na mwanajukwaa unategemea nini kama reaction ya hukumu hii?
Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums