moseskwaslema
Member
- May 3, 2012
- 92
- 13
Watanzania wenzangu hasa walimu wa kada zote pamoja na wakufunzi wa vyuo,serikali imetangaza kuongeza mishahara ya watumishi kwa asilimia 15-20 lakini gharama ya maisha imepanda zaidi ukilinganisha na kiwango kilichoongezeka.Lakini ukijaribu kuangalia wabunge pamoja na maofisa wa serikali ambao hawana hata taaluma yoyote wanalipwa fedha nyingi na kwa wanataaluma serikali mara nyingi hujaribu kusema kazi zetu ni wito,hivi uongozi hauwezi ukawa wito?
Mi nafikiri ni muda mwafaka sasa serikali itueleze kazo ambazo siyo wito,kwa jinsi ninavyojua mimi ni kwamba kila kazi ni wito na ndo maana kili majawetu ana interest yake,interest ndo wito wenyewe.
Viongozi wa chama cha waalimu hivi karibuni wametangaza kwamba kutakuwa na mgomo endapo serikali itashindwa kutekeleza yafuatayo;
1.kupandisha mishahara kwa asilimia 100
2.kima chini kiwe 350,000
3.walimu walipwe madeni yao yote.
4.kuwe na posho ya mazingira magumu[hardship nallowance].
5.kuwa na malipo ya over time.
6.malipo yanayofanyika katikati ya mwezi kama ilivyo kwa polisi na wahasibu.
Walimu wa kada zote tuungane katika kutekeleza mgomo huu endapo serikali itakuwa kimya mpaka tarehe 07 mwezi huu.Watanzania nao watuelewe na kutuunga mkono ili maisha yetu yawe bora na hatimaye tuweze kufanya kazi yetu kwa ufanisi zaidi.
Mi nafikiri ni muda mwafaka sasa serikali itueleze kazo ambazo siyo wito,kwa jinsi ninavyojua mimi ni kwamba kila kazi ni wito na ndo maana kili majawetu ana interest yake,interest ndo wito wenyewe.
Viongozi wa chama cha waalimu hivi karibuni wametangaza kwamba kutakuwa na mgomo endapo serikali itashindwa kutekeleza yafuatayo;
1.kupandisha mishahara kwa asilimia 100
2.kima chini kiwe 350,000
3.walimu walipwe madeni yao yote.
4.kuwe na posho ya mazingira magumu[hardship nallowance].
5.kuwa na malipo ya over time.
6.malipo yanayofanyika katikati ya mwezi kama ilivyo kwa polisi na wahasibu.
Walimu wa kada zote tuungane katika kutekeleza mgomo huu endapo serikali itakuwa kimya mpaka tarehe 07 mwezi huu.Watanzania nao watuelewe na kutuunga mkono ili maisha yetu yawe bora na hatimaye tuweze kufanya kazi yetu kwa ufanisi zaidi.