mansakankanmusa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2010
- 4,163
- 787
TUKIO linaloendelea sasa nchini na katika halmashauri ya wilaya kinondoni ni matokeo na fundisho kwa wanajamii kwamba walimu ni viumbe tofauti na wana namna pekee wanapohendo mambo yao, fujo ya madai ya posho zao ingetofautiana sana, na hawa wananchi wanaodai posho za sensa.
Hali kadhalika, umeona mgomo wao ulivyositishwa na kurejea shuleni? ni fundisho kwa umma.
Na je? unaona jinsi wanavyojiandaa kuendesha mgomo baridi? these people are very tolerant
Hali kadhalika, umeona mgomo wao ulivyositishwa na kurejea shuleni? ni fundisho kwa umma.
Na je? unaona jinsi wanavyojiandaa kuendesha mgomo baridi? these people are very tolerant