Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,304
- 29,843
Hili kundi lina majungu sana. Utakuta mwalimu mwenzao anapambana kuanzisha miradi nje ya kazi ya ualimu lakini walimu wenzake wa shule moja wanaanza kumletea majungu na kumsakama kuwa amesahau kazi ya ualimu, anakuja Anachelewa kazini, anaondoka kabla ya mda wa kazi kuisha, Mara haandiki notes darasani ili tu huyo mwalimu akwame kwenye miradi Yake wao wafrahi
Unakuta mwalimu anapambania haki zake za malimbikizo, study leave, uhamisho, recategorization na mengine mengi ila hao hao walimu wenzake wanaomba dua ishu ikwame ili wafrahi tena mkuu wa shule ndoanakuwa mwalimu wa kwanza Kwa unafiki na uzandikuna wa kumsababisha mwalimu anadaedai haki zake halmashauri ashindwe kupata haki zake maana utakuta mkuu wa shule anamwambia saa zingine huyo mwalimu apunguze safari za halmashauri zimezidi
Mwalimu akiwa mtu wa kupenda haki wenzake watamwita mjuaji, mkorofi, hana adabu, haridhiki, tena wanasema kama hutaki kazi ya ualimu siuacheee kwani umelazimishwaa. Hawa ndo walimu wazee wa vumbi la chaki, kazi mlima posho marweni
Wanapiga kazi mpaka likizo kudadeki hhhahaha. Adui wa mwalimu ni mwalimu mwenzake. Fullstop.
Unakuta mwalimu anapambania haki zake za malimbikizo, study leave, uhamisho, recategorization na mengine mengi ila hao hao walimu wenzake wanaomba dua ishu ikwame ili wafrahi tena mkuu wa shule ndoanakuwa mwalimu wa kwanza Kwa unafiki na uzandikuna wa kumsababisha mwalimu anadaedai haki zake halmashauri ashindwe kupata haki zake maana utakuta mkuu wa shule anamwambia saa zingine huyo mwalimu apunguze safari za halmashauri zimezidi
Mwalimu akiwa mtu wa kupenda haki wenzake watamwita mjuaji, mkorofi, hana adabu, haridhiki, tena wanasema kama hutaki kazi ya ualimu siuacheee kwani umelazimishwaa. Hawa ndo walimu wazee wa vumbi la chaki, kazi mlima posho marweni
Wanapiga kazi mpaka likizo kudadeki hhhahaha. Adui wa mwalimu ni mwalimu mwenzake. Fullstop.