wamewaibia watanzania wakingangania Madaraka sasa tunamtaka huyo rais Wa tume aanze na kugawa laptop Kwa waalimu nchini na waalimu bawaomba sasa mpeleke mapendekezo ya aina na ranging ya laptop ambayo atawagawia msisahau Model....
Nasikia tayari makontena yamepakiwa leo meli kumi kuanzia week ijayo bandarini full busy! Nasikia uchungu sana maana la libya kumuua sadam bado linaniuma sana.wamewaibia watanzania wakingangania Madaraka sasa tunamtaka huyo rais Wa tume aanze na kugawa laptop Kwa waalimu nchini na waalimu bawaomba sasa mpeleke mapendekezo ya aina na ranging ya laptop ambayo atawagawia msisahau Model....
wamewaibia watanzania wakingangania Madaraka sasa tunamtaka huyo rais Wa tume aanze na kugawa laptop Kwa waalimu nchini na waalimu bawaomba sasa mpeleke mapendekezo ya aina na ranging ya laptop ambayo atawagawia msisahau Model....
Haya hapo ndo kutakucha sasa, namuonea huruma san rais wa tume maana watz wa leo sio wa enzi za nyerere.
na vijiji vijiandae kupokea mabilioni ya pombe
Rais wa tume,
Madiwani wa tu,
Wabunge wa tume,
Chukua za jirani changanya na zako,vinginevyo unakufa vuvuzera tu,
Mkuu mimi nataka HP pro book, moderm na external back up ya gb, 50 ili nianze kupiga kazi.wamewaibia watanzania wakingangania Madaraka sasa tunamtaka huyo rais Wa tume aanze na kugawa laptop Kwa waalimu nchini na waalimu bawaomba sasa mpeleke mapendekezo ya aina na ranging ya laptop ambayo atawagawia msisahau Model....
Labda ziwe za solar kwa kuwa hata umeme utapotea kabisa licha ya kuchajia nyumbani kwa dc mwenye generator
Nadhan ndio maana walimchagua Magufuli na sio ccm..na walimkataa Lowasa na siyo cdm..Upo enzi za mwalimu za kuchagua mafiga matatu, watz walikuwa hawachagui chama bali mtu.