Sio kweli kama kiasi ni hicho, semina 100,000 kwa siku mbili, (nauli 20000*2 na pesa ya semina 30000*2).malipo ya kazi kwa msimamizi msaidizi 195,000 na mkuu 235,000Kumbe ni 70,000 kwa siku mbili?
What a shame aisee!
The whole country is poor,these people are really poor..I cant blame them kwakweli!
Hii country tunarudi kwenye poverty kwa mwendo wa hatari sana