Walimu mmetengeneza chuki mbele ya jamii

Yan chadema ndiomana akil zenu Zipo nyuma ya mat kwaio ili mtu awe Msafi kwenu lazima awaunge mkono dah yani bora ccm ndio ccm na chadema ni chadema kwa Hali mnayo onyesha kama mngekua nyie ndio ccm ingekua hatar
 
..mimi jimke langu ni lialimu...siku ya 2 kabla ya uchaguzi limeenda semina ya uchaguzi ...kila.siku linarudi usiku...siku ya kura likalala huko huko...tena lilikuwa lisimamizi...hata taarifa halikutoa nyumbani kuwa halitakuja home..kisa limekesha linaiba kura...kesho yake saa 4 ausubihi napita maeneo ya halmashari naona limepaki gari bar...tena limepakia mianaume lilikuwa libaiba nao kura..yako bar yanakula na kunywa ..kudadeki..nimelitimua hadi nyumbani...liko huko linakojua walipe makazi...kama ameolewa na serikali alale huko huko...
 
Fukuza kabisa hayana akili kabisa majialimu wakati ndo ya kwanza kulalamika hali ngumu.
 
Usikute anayetukana walimu hata Shangazi yake ni mwalimu pia!
 
Paragraph ya nne na ya tano umemaliza kila kitu na ikititokea mshenzi huyo au mtu yeyote akapangua hapo basi naomba mnitag
 
Wewe sasa unakwenda kinyume na kila mtu maana pande zote za vyama vinavyogombea walihamasisha watu wakapige kura kuwachagua

Kumbe wewe ulitaka hata uchaguzi wenyewe ususiwe kabisa... basi kama ni hivyo lawama zako na matusi ulitakiwa kuzielekeza kwa serikali na vyama vya siasa walioandaa na kuhalalisha kufanyike uchaguzi

Wala usipeleke hasira zako moja kwa moja kwa walimu (ambao mwenyewe umekiri kabisa kuwa ni watu wa chini sana hata kwenye uchaguzi walikuwa ngazi ya chini kabisa katika usimamizi wa uchaguzi)
 
Ukikutana na mtu akakwambia ye ni mwalimu mwangalie mara mbili mbili. Walimu ni choka mbaya
Ishi maisha yako na mwalimu ataishi maisha yake. Mfuate taahira mwenzio lisu alikoenda. Ila hapa sheria ni moja tu. Kijani
 
..barikiwa sana....mimi jimke langu lilishiriki hii dhambi...na nimeliadhibu....kisa njaa wakati nyumbani kuna kina kitu...
 
Kaka punguza jazba
 
Bora hata hao maaskari kwa utawala huu wamepata motisha wanapewa posho ya kutosha na pesa za fidia ya vinywaji kwa mwezi anaingiza laki nne isiyokuwa na makato na nje ya mshaara,sasa hao walimu wana motisha gani ya kujitoa ufahamu?
Walimu wanalaumiwa lkn afanyeje maisha magumu motisha hakuna chance kama hizi inabidi uombe tu yaani
 
Msimkwepe anayestahili lawama, kwa kufanya hivyo mhalifu ataendeleza uhalifu wake. Tatizo linajulikana na sio waalimu, litafutiwe ufumbuzi.
 
Usisahau kuna wajinga wengine wanaitwa watendaji wa mitaa ,vijiji na kata hawa ni janga. hawa ndo walifanikisha mipango miovu yoote
Hasira zenu CHADEMA zinawafanya kutengeneza maadui wengi zaidi kwenu badala ya marafiki ama watu wa kuwaunga mkono wao na familia zao!!!!
Hivi kwa matusi haya mnayowatukana WALIMU, POLISI, WATENDAJI WA MITAA, WATENDAJI KATA na kadhalika mnadhani mnapanda mbegu gani kwa chaguzi zijazo???
Mimi binafsi nina ndugu ninayemuheshimu sana ni Mwalimu!! Na nyie mnamtusi , kumbagaza na kumkejeli ndugu yangu huyu!!!! Na yeye ana watoto wake wakubwa tu wanaomtegemea ..... MNADHANI MTAWAPATA HAWA??!!
“Chadema mmepoteza Dira, iombeni radhi Tanzania”
 
Kumbe ni 70,000 kwa siku mbili?

What a shame aisee!

The whole country is poor,these people are really poor..I cant blame them kwakweli!

Hii country tunarudi kwenye poverty kwa mwendo wa hatari sana
Tafuta ukweli, siyo kila minachoandikwa hapa ni sahihi.
Nilipo walilipwa ifuatavyo:
1. Msimamizi mkuu 335,000.
2. Msaidizi 285,000
3. Karani 255,000.
 
Wewe pia ni msaliti mweye LAANA, uneshindwa kuingia barabarani kama wito wa mberigiji wetu!!😁😁😁
 
Huu ni upumbavu umeandika. Ego itakupoteza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…