Watakaotaka kugoma na wagome, wanaoendelea na kazi waendelee.
Kwani hatuja goma? Mimi niliposikia Celina Kombani anasema eti anaongeza mishahara kwa asilimia moja ziaidi ya ile nyongeza ya mwaka jana, nikawatangazia wanafunzi mgomo mwingine usio na kikoma hadi serikali itakaposikia madai yangu!!! Nipo kwenye mgomo hapa! Nawashauri waalimu wenzangu mniunge mkono ili tuitie adabu serikali na wazazi wa watoto hawa walioiweka serikali SIKIVU YA CHAMA CHA MAPINDUZI MADARAKANI!!!
Walimu nchini wametega sikio kwa serikali juu ya madaraja, posho ya mazingira na mshahara mpya. La sivyo ni mgomo baridi
duh, watu wanalazimishwa kugoma, hii tena kaliNyie ni waoga sana, Igeni wenzenu wa Kenya, wao wakitanganaza Mgomoni Mgome kweli na si Usanii, Huli la kufelisha watoto litakuja kuwarudi huko Mbeleni na mtakuja Kujuta wenyewe, Gomeni Live kama kweli mko siriasi, au ndo mambo ya Kuogopa kukaguliwa Vyeti?
Nyie ni waoga sana, Igeni wenzenu wa Kenya, wao wakitanganaza Mgomoni Mgome kweli na si Usanii, Huli la kufelisha watoto litakuja kuwarudi huko Mbeleni na mtakuja Kujuta wenyewe, Gomeni Live kama kweli mko siriasi, au ndo mambo ya Kuogopa kukaguliwa Vyeti?
walimu hawako siriaz,ndo maana wanafanywa kama watoto wadogo kwa sababu:
-kwanza hawajui wanachodai.
-pili hawana mbinu za kisayansi za kudai.
-Tatu walimu hawako organised
-Nne chama cha walimu kimejaa mashushu na wasaliti wengi.
-Tano walimu wanahubiri kitu wasichokiamini.
Maoni yangu ni kama wanaamua kugoma tena basi kwanza watangaze kutokuwa na imani na Rais wao na Mwanasheria wao wa CWT.